McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Wakuu,
Nina maswali machache.
Tushazoea utaratibu wa taifa hili waandamanaji wanapigwa risasi kwanini hawa imekuwa tofauti?
Hao Wakatoliki walioandamana, kibali cha kuandamana walitoa wapi ?
Je wangeanzisha vurugu na "kuhatarisha" usalama wa raia wema na mali zao?
Na kwanini hatujaona Polisi wakiwasindikiza wakiwa na mabomu na vifaru vya kijeshi?
Hii nchi maandamano kwanini yanakuwa ya kibaguzi?
Nina maswali machache.
Tushazoea utaratibu wa taifa hili waandamanaji wanapigwa risasi kwanini hawa imekuwa tofauti?
Hao Wakatoliki walioandamana, kibali cha kuandamana walitoa wapi ?
Je wangeanzisha vurugu na "kuhatarisha" usalama wa raia wema na mali zao?
Na kwanini hatujaona Polisi wakiwasindikiza wakiwa na mabomu na vifaru vya kijeshi?
Hii nchi maandamano kwanini yanakuwa ya kibaguzi?