Given Edward
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 850
- 203
Jambazi kaingia kanisan na mtutu huoo! Akauliza, "Nani humu anataka kwenda mbinguni?"
Waumini wote wakamnyooshea pastor. Pastor akajibu "NANI KAWAAMBIA? Mi nimesema lini?
Waumini wote wakamnyooshea pastor. Pastor akajibu "NANI KAWAAMBIA? Mi nimesema lini?