Jamani ndo hali halisi, watu wamelala njaa lakini wanaamka asubuhi wanakuja kushangilia mzee wa vijisenti kwa kuwa yeye ni CCM na wamemwambia lazima aende. Kazi kubwa bado hipo ya kuwalimisha wananchi wa kawaida umuhimu wa kuachana na ushabiki wa kisiasa ambao CCM inacapitalize hapo.
Mimi nakwambia hata balali akirudi leo akagombea uraisi kupitia CCM watu watampa kura.
Mimi nakwambia hata balali akirudi leo akagombea uraisi kupitia CCM watu watampa kura.