Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 164
Ndugu wana Jf,
Baada ya jana mie kuhitimisha kuwalemisha watanzania kuhusu Mzee Ben kuachwa kuzomewa na kupanga nini kifanyike chenye manufaa zaidi kwa ajili ya watanzania,nilikaa chini na kuanza kutafakari ni nani kawaloga watanzania,na wakati mwingine naweza kukubaliana na maneno aliyowahi kuyasema Mkapa,kwamba watu wana wivu wa kijinga.na ningependa kuelezea Hoja yangu kwa mapana kwanini nilikuwa namtetea Mzee Ben,ila nilitaka zichukuliwe hatua mashubuti za kufuatwa kuliko kuzomea tu
Nianze na mfano wa kipindi kile watu waliposhinikiza Lowassa ajiuzuru Uwaziri Mkuu,Watananzaia tulikuwa mashabiki na tulipiga kelele ausbuliwe,na kweli akasurubiwa na kuachia ngazi akiwa na wanyang'anyi wenzake,Karamagi na Msabaha.,Jamabo la kujiuliza nini kilifuata baada ya kushabikia Lowassa aachie ngazi
1. Je Dowana hawalipwi pesa zetu yaani dola million 152 kwa siku.
2.Je Lowassa amechuliwa hatua zipi za kisheria kwa kuliingiza taifa katika hasara isiyosemelka,Maana Waziri Mkuu hana kinga ya kupelekwa Mahakamani
3.Je walioshiliki NGT ,kama watanzania tumeshafanya nini ili hawa watu wachukuliwe hatu kali ikiwemo kuwajibika kwa kuachia ngazi,Naomba nikueleze jambo ambalo haulifahamu, watu wote waliohusika na NGT wamebadilishwa vituo na kupelekwa sehemu Nyeti huko Ikulu,Hii maana yake nini??
Pili,Mhe. Chenge naye tulishabikia aachie Ngazi,kweli kwa kuombwa na muungwana aliachia ngazi nafasi yake ya uwaziri,ila tujiulize hii inatosha??Je ndio hicho anastaili au sie tuliunga mkono nia ya kundi flani ambalo lilitaka kumuangusha chenge kisiasa mpaka wakafikia kuzushiana kifo??Tutafakari sana mambo haya sababu tumekuwa watu wa kufuata mkumbu na kuogopa kuchukua hatua.Rejea wakati Mhe. Dk. Mwakyembe akiwasilisha ripoti ya kuhusu RDC alisema watanzania wamekuwa waoga kuellezea wanachokijua kuhusu tuhuma flani ,na hii ni kweli watu wamekuwa wazi kunong'oneza mtu flani jinsi mtu flani anafanya ufisadi wa khali ya juu,ila hawako tayari kuchukua hatua ya kumshtaki mtu huyo
Watanzania wenzagu ,leo mchana nilipoingia JF nilikutana na hoja ya mwanakijiji kuhusu gharama ya kuendesha JF imekuwa kubwa na watu hawako tayari kuchangia ila wako tayari kusoma habari na kutupa muelekeo wa wa ambao wanafanya ufisadi,ila inapokuja suala la kuchangia nini kiganyike watu wamekuwa wagumu,na hii ni moja ya tabia zetu watanzania.inawezakana tua uoga flani,Je tunasubiri nani atoe uoga huu tulio nao?nani achangie Jf kama siyo wewe mtanzania uliye na mkakati wa kuondoa umasikini??
Nimetafakari maneno haya kwa kina,Nimeamua yafuatayo kama ushauri kwa watanzania wenzangu.
1.Kuanzia sasa tufufue yale yote yalioliingizia taifa aibu kubwa na hasara isoyosimulika kwa vizazi vijavyo ,Suala laIPTL,SONGAS,Suala la kampuni ya SAMAX,Suala la pesa za EPA,TANGOLD,MEREMETA na vifo,mbavyo vilitokea katika mazingira ya kutatanisha na vilihusu wanaharakati waliotaka wananchi wajue ukweli kuhusu nchi yao au chama flani,tufatilie nani alihusika na ikiwezekana awajibike kwa kwenda jela na watu kufilisiwa ili pesa ya umma irudi.na hata kama ilikuwa ni suala la ushirikina zitumike njia kuwatambua waliwaua waliosema ukweli
2.Suala RDC,Kwa Maoni yangu ninaomba waziri husika afanye haraka kusitisha Mkataba wa Dowans mpaka hapa uchambuzi pembunifu utakapofanyika kuhsusu gharama halisi za uendeshaji wa Umeme hu,na gharama zote ambazo zilizidishwa kwa makusudi zirudishwe serikalini zifanye kazi nyingine
3.Tuanzishe Kampeni za dhati ambazo zitaenda hadi viijijini kuelezea Vugu vugu la demokrasia makini na kupinga ufisadi nchini,inaonekana wananchi wa huko Dutwa na sehemu zingine za umasaini hawajui mambo yanayohusu ufisadi,angalia jana chenge alivyojitapa akisema Dar es salaam ndiyo wananiona sifai,hii inaonesha kwamba wanakijiji hawajui chochote kuhusu ufisadi.
4.Tuache ushabiki wa kufuata Mkumbo bali tuchukue hatua madhubuti zaidi ya kuzomea,mtu akishajulikana ni jangili,afikishwe mahakamini na akpatikana na hatia atiwe nguvuni.
Naomba kutoa hoja.
Gembe
Niandikie: gembe@jamboforums.com
Baada ya jana mie kuhitimisha kuwalemisha watanzania kuhusu Mzee Ben kuachwa kuzomewa na kupanga nini kifanyike chenye manufaa zaidi kwa ajili ya watanzania,nilikaa chini na kuanza kutafakari ni nani kawaloga watanzania,na wakati mwingine naweza kukubaliana na maneno aliyowahi kuyasema Mkapa,kwamba watu wana wivu wa kijinga.na ningependa kuelezea Hoja yangu kwa mapana kwanini nilikuwa namtetea Mzee Ben,ila nilitaka zichukuliwe hatua mashubuti za kufuatwa kuliko kuzomea tu
Nianze na mfano wa kipindi kile watu waliposhinikiza Lowassa ajiuzuru Uwaziri Mkuu,Watananzaia tulikuwa mashabiki na tulipiga kelele ausbuliwe,na kweli akasurubiwa na kuachia ngazi akiwa na wanyang'anyi wenzake,Karamagi na Msabaha.,Jamabo la kujiuliza nini kilifuata baada ya kushabikia Lowassa aachie ngazi
1. Je Dowana hawalipwi pesa zetu yaani dola million 152 kwa siku.
2.Je Lowassa amechuliwa hatua zipi za kisheria kwa kuliingiza taifa katika hasara isiyosemelka,Maana Waziri Mkuu hana kinga ya kupelekwa Mahakamani
3.Je walioshiliki NGT ,kama watanzania tumeshafanya nini ili hawa watu wachukuliwe hatu kali ikiwemo kuwajibika kwa kuachia ngazi,Naomba nikueleze jambo ambalo haulifahamu, watu wote waliohusika na NGT wamebadilishwa vituo na kupelekwa sehemu Nyeti huko Ikulu,Hii maana yake nini??
Pili,Mhe. Chenge naye tulishabikia aachie Ngazi,kweli kwa kuombwa na muungwana aliachia ngazi nafasi yake ya uwaziri,ila tujiulize hii inatosha??Je ndio hicho anastaili au sie tuliunga mkono nia ya kundi flani ambalo lilitaka kumuangusha chenge kisiasa mpaka wakafikia kuzushiana kifo??Tutafakari sana mambo haya sababu tumekuwa watu wa kufuata mkumbu na kuogopa kuchukua hatua.Rejea wakati Mhe. Dk. Mwakyembe akiwasilisha ripoti ya kuhusu RDC alisema watanzania wamekuwa waoga kuellezea wanachokijua kuhusu tuhuma flani ,na hii ni kweli watu wamekuwa wazi kunong'oneza mtu flani jinsi mtu flani anafanya ufisadi wa khali ya juu,ila hawako tayari kuchukua hatua ya kumshtaki mtu huyo
Watanzania wenzagu ,leo mchana nilipoingia JF nilikutana na hoja ya mwanakijiji kuhusu gharama ya kuendesha JF imekuwa kubwa na watu hawako tayari kuchangia ila wako tayari kusoma habari na kutupa muelekeo wa wa ambao wanafanya ufisadi,ila inapokuja suala la kuchangia nini kiganyike watu wamekuwa wagumu,na hii ni moja ya tabia zetu watanzania.inawezakana tua uoga flani,Je tunasubiri nani atoe uoga huu tulio nao?nani achangie Jf kama siyo wewe mtanzania uliye na mkakati wa kuondoa umasikini??
Nimetafakari maneno haya kwa kina,Nimeamua yafuatayo kama ushauri kwa watanzania wenzangu.
1.Kuanzia sasa tufufue yale yote yalioliingizia taifa aibu kubwa na hasara isoyosimulika kwa vizazi vijavyo ,Suala laIPTL,SONGAS,Suala la kampuni ya SAMAX,Suala la pesa za EPA,TANGOLD,MEREMETA na vifo,mbavyo vilitokea katika mazingira ya kutatanisha na vilihusu wanaharakati waliotaka wananchi wajue ukweli kuhusu nchi yao au chama flani,tufatilie nani alihusika na ikiwezekana awajibike kwa kwenda jela na watu kufilisiwa ili pesa ya umma irudi.na hata kama ilikuwa ni suala la ushirikina zitumike njia kuwatambua waliwaua waliosema ukweli
2.Suala RDC,Kwa Maoni yangu ninaomba waziri husika afanye haraka kusitisha Mkataba wa Dowans mpaka hapa uchambuzi pembunifu utakapofanyika kuhsusu gharama halisi za uendeshaji wa Umeme hu,na gharama zote ambazo zilizidishwa kwa makusudi zirudishwe serikalini zifanye kazi nyingine
3.Tuanzishe Kampeni za dhati ambazo zitaenda hadi viijijini kuelezea Vugu vugu la demokrasia makini na kupinga ufisadi nchini,inaonekana wananchi wa huko Dutwa na sehemu zingine za umasaini hawajui mambo yanayohusu ufisadi,angalia jana chenge alivyojitapa akisema Dar es salaam ndiyo wananiona sifai,hii inaonesha kwamba wanakijiji hawajui chochote kuhusu ufisadi.
4.Tuache ushabiki wa kufuata Mkumbo bali tuchukue hatua madhubuti zaidi ya kuzomea,mtu akishajulikana ni jangili,afikishwe mahakamini na akpatikana na hatia atiwe nguvuni.
Naomba kutoa hoja.
Gembe
Niandikie: gembe@jamboforums.com