Uchaguzi 2020 Nani kati ya hawa anafit kuchuana tena na Rais Magufuli 2020 (UKAWA)

Katika Inchi yeyote kuna madaraja matatu makuu ya watu kiuchumi.
1. Daraja la juu
2. Daraja la kati
3. Daraja la chini.
Rais aliyeko madarakani amekamata daraja la chini ambalo ndilo lenye zaidi ya asilimia 80 ya wapiga kura.
Madaraja mawili ya juu ambayo watu wake wanaishi mijini, wengi hawana furaha na maisha kwa sababu hawana pesa za kukidhi mahitaji yao kama iliyo kuwa huko nyuma. Kwa vyovyote vile hawatampa kura Raisi aliyeko madarakani.
Kwa mantiki hii hakuna mgombea yeyote atakayeweza kumtoa jasho raisi aliyeko madarakani.
Uchaguzi wa mwaka 2020 utakuwa rahisi sana kwa Raisi aliyeko madarakani kuliko ilivyokuwa kwenye uchaguzi wa mwaka 2015.
Wagombea ambao walikuwa na nguvu za pesa mwaka 2015 hawatakuepo tena kwa sababu mfumo wa uchumi umewafanya wafilisike wao pamoja na wafadhili wao.
Kwa Inchi yetu bila pesa za kutosha huwezi kufanya kampeni za kutosha na kusimamia kura zako.
 
Katika Inchi yeyote kuna madaraja matatu makuu ya watu kiuchumi.
1. Daraja la juu
2. Daraja la kati
3. Daraja la chini.
Rais aliyeko madarakani amekamata daraja la chini ambalo ndilo lenye zaidi ya asilimia 80 ya wapiga kura.
Madaraja mawili ya juu ambayo watu wake wanaishi mijini, wengi hawana furaha na maisha kwa sababu hawana pesa za kukidhi mahitaji yao kama iliyo kuwa huko nyuma. Kwa vyovyote vile hawatampa kura Raisi aliyeko madarakani.
Kwa mantiki hii hakuna mgombea yeyote atakayeweza kumtoa jasho raisi aliyeko madarakani.
Uchaguzi wa mwaka 2020 utakuwa rahisi sana kwa Raisi aliyeko madarakani kuliko ilivyokuwa kwenye uchaguzi wa mwaka 2015.
Wagombea ambao walikuwa na nguvu za pesa mwaka 2015 hawatakuepo tena kwa sababu mfumo wa uchumi umewafanya wafilisike wao pamoja na wafadhili wao.
Kwa Inchi yetu bila pesa za kutosha huwezi kufanya kampeni za kutosha na kusimamia kura zako.
Nimependa analysis yako..but let's wait and see what will happen...only time can prove the truth!!
 
Kwa hali ya kisiasa ilivyo nchini chini ya uongozi wa Rais Magufuli, kuna baadhi ya Watu hasa wanasiasa wa upinzani wanadhani serikali hii haifai na Rais aliyepo hamudu hiyo nafasi
.
.
Swali ni je,wao wamejipangaje kukabiliana na Rais Magufuli hapo 2020?? Na je,wewe unadhani nani ataweza kumtoa jasho jiwe kati ya hawa???
1.Freeman A. Mbowe
2.Edward N. Lowassa
3.John Mnyika
4.Tundu A. Lissu

My take: Tundu Lissu anafaa coz amejijengea political personality kubwa hasa katika kipindi hiki cha utawala wa Rais Magufuli pamoja na matukio mabaya yaliyomtokea ambayo kimsingi yamemjengea political sympathy na popularity kubwa kwa Watanzania
Hakuna hata mmoja....narudia tena ..hakuna hata mmoja.
 
Back
Top Bottom