nankumene
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 7,335
- 8,116
Ah mkuu acha watawale watachokana wenyewOgopa nguvu ya umma....wakikuchoka utajuta
Ah mkuu acha watawale watachokana wenyewOgopa nguvu ya umma....wakikuchoka utajuta
Umekosa kuwaita watu walioumbwa kwa mfano wa Mungu vitu vya kipumbavu.mimi sio mwanasiasa,sio mwanaCCM but acha kumfananisha MAGUFULI na vitu vya kipumbavu...
Elimu yako ni ya level gani?mimi sio mwanasiasa,sio mwanaCCM but acha kumfananisha MAGUFULI na vitu vya kipumbavu...
Maana mtu mwenye elimu ndogo ndo huwa anakurupuka kama jamaa alivyofanya,na kuhisi anajua kumbe empty set.Itakuwa MEMKWA tu huyo
acha uzwazwa,unaelewa kwanza maana ya elimu?Elimu yako ni ya level gani?
mimi na wewe nani sasa kavuta bangi?Umevuta bangi kiwango gani mkuu....
Lissu akisimama hapo uncle magu hana nafasi tena hapo ....
upumbavu unaujuaje?Tayari ushaonesha upumbavu wako dhahiri
sio kweli,but pole kwa upumbavu nawe..Halafu anajidai eti hana chama kumbe kidudu mtu wa Lumumba
wewe una hadhi gani?Watu wengine wanaishusha tu hadhi JF yetu
Huu ndio ukweli mchungu kwa wachumia tumbo wote wa Lumumba fcKwa hali ya siasa ya sasa.. Wananchi wamemchoka Magu..
Kwahiyo hao uliowataja wapo level za mbali Sana.. Magu Hana uwezo wakusimama na hao watu kama kutatumika democracies,
Kwasasa jiwe anaweza angushwa kwenye sanduku LA kura hata na Diwani wa cdm au Ester Bulaya. Hawa ndio wanaweza simama na mkuu jiwe.
acha unafiki na kutaka kujifanya wewe ni great thinker,kama upo sawa kichwani ungechangia hoja za mleta uzi na si kujifanya mkosoaji wa comment za watu,so sad and shame to have around such a stupid as you!Nasikitika sana kulishwa tango pori na TUKI.
Ni kweli nimeshindwa kuelewa huu msamiati.......