Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,177
- 219,310
Wakuu inasemekana kwenye haya mambo ya simba na yanga kuna kupigana misumari.
Sasa nimeangalia kiwango cha hivi karibuni cha huyu mchezaji wetu kiukweli nimestaajabu ! Si yule Kichuya wa kona - goli, kuna nini kimemtokea?
Sasa nimeangalia kiwango cha hivi karibuni cha huyu mchezaji wetu kiukweli nimestaajabu ! Si yule Kichuya wa kona - goli, kuna nini kimemtokea?