Pole tumboo
sina mbona umeniuliza hivyo mkuu!!!!!!
Ndo maana umeweza kutoa mawazo yako vile, siku ukipata mtoto wako ukakaa nae miezo mitatu tu wakati mkeo akihangaika utajua nani kama mama... na nakushaurI ingia labor ward wakati anajifungua utajifunza mengi
unataka kuniambia mtoto akiwa anaumwa au hajalala usiku baba huwa anamkata makofi mtoto au!!!!!