Nani kama mama?

Nani kama mama?

Jospina

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
2,421
Reaction score
1,395
Malezi ya mama, elimu ya mama haina ada wala cheti, ila ni zaidi ya elimu ya chuo kikuu
Nikikumbuka zamani nilipokuwa mtoto nikilia usiku mama lazima utakesha na mimi
Huwezi kukubali niwe macho usiku, wewe ufumbe macho yako
Mapenzi ya maamaaa, kwa mtoto wake, haina mfano
Hata mapenzi ya boyfriend na girlfriend hayafiki hata robo
Nikikumbuka zamani nilipokuwa mtoto nikiumwa usiku lazima utakesha na mimi
Mola wasaidie, wakina mama wote, uwape maisha marefu
Nani kama maama, mama yeah mamaa yeye
Thamani ya malezi yako siwezi kuyalipa, mama mamayeee

Huu ni wimbo wa christian Bella, umenigusa sana wadau MMU!

TUMIA FURSA HII KUSEMA ASANTE KWA MAMA YAKO
 
Asante mama kokote ulipo ujue bado nakupenda.......japo umetangulia mbele ya hakii
 
Shukrani za dhati ziwaendee wamama wote kwa malezi yao na hata kukubali kutuzaa na kutulea maana wanaotoa mimba ni wengi sn.
Kuna kina mama wengi wamelea watoto wao kwa shida sn lkn hawakukata tamaa. Mungu awabariki sn kina mama.
 
Shukrani za dhati ziwaendee wamama wote kwa malezi yao na hata kukubali kutuzaa na kutulea maana wanaotoa mimba ni wengi sn.
Kuna kina mama wengi wamelea watoto wao kwa shida sn lkn hawakukata tamaa. Mungu awabariki sn kina mama.
ni kweli kabisa mdau
 
Hakuna kama mama.
Nakupenda sana mama, nguzo ya maisha yangu hapa duniani.
 
Malezi ya mama, elimu ya mama haina ada wala cheti, ila ni zaidi ya elimu ya chuo kikuu
1.Nikikumbuka zamani nilipokuwa mtoto nikilia usiku mama lazima utakesha na mimi
Huwezi kukubali niwe macho usiku, wewe ufumbe macho yako
Mapenzi ya maamaaa, kwa mtoto wake, haina mfano
Hata mapenzi ya boyfriend na girlfriend hayafiki hata robo
2.Nikikumbuka zamani nilipokuwa mtoto nikiumwa usiku lazima utakesha na mimi
Mola wasaidie, wakina mama wote, uwape maisha marefu
Nani kama maama, mama yeah mamaa yeye
Thamani ya malezi yako siwezi kuyalipa, mama mamayeee

Huu ni wimbo wa christian Bella, umenigusa sana wadau MMU!

TUMIA FURSA HII KUSEMA ASANTE KWA MAMA YAKO

point kubwa uliyoongelea hapo ni kukesha na wewe na hii inatokana kuwa unampigia kelele kama hujalala ndo maana na yeye anakosa usingizi ili alale kwa utulivu bila kelele zako lazima ahakikishe wewe umelala fofofo!!!
2.swala la kusema ukiumwa anakesha na wewe hii ni kawaida labda uwe hujawahi kulala na mgonjwa hospital lazima uwe macho!!!

ni mchango tu!
 
point kubwa uliyoongelea hapo ni kukesha na wewe na hii inatokana kuwa unampigia kelele kama hujalala ndo maana na yeye anakosa usingizi ili alale kwa utulivu bila kelele zako lazima ahakikishe wewe umelala fofofo!!!
2.swala la kusema ukiumwa anakesha na wewe hii ni kawaida labda uwe hujawahi kulala na mgonjwa hospital lazima uwe macho!!!

ni mchango tu!

Loh teheeeee...! Mkuu naomba kuuliza una mtoto?
 
point kubwa uliyoongelea hapo ni kukesha na wewe na hii inatokana kuwa unampigia kelele kama hujalala ndo maana na yeye anakosa usingizi ili alale kwa utulivu bila kelele zako lazima ahakikishe wewe umelala fofofo!!!
2.swala la kusema ukiumwa anakesha na wewe hii ni kawaida labda uwe hujawahi kulala na mgonjwa hospital lazima uwe macho!!!

ni mchango tu!
una mtoto kweli wewe?
 
Aisee my mama..nampenda sana kuliko chochote kile!!dah umenipa mda nimuwaze sana my diva my mama..mungu aendelee kumpa afya.
 
Back
Top Bottom