Nani kama Bella?

Sitaki kuongea sana, ila kama ningeweza, ningempa tuzo Bella kwa wimbo wa "Nani kama MAMA" wale wenye watoto watanielewa kitu nnachokiongelea.
 
please moder naomba usiniaribie siku... PLEASE!! PLEASE!!! nisije nikakuchafua ubongo wako sasaivi..MFYUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU........
 


Kama ni kwa kuvaa, kujiremba na kujishaua kweli Bella yupo juu ila katika suala la kuimba nakupinga kwa 100% kuwa Bella hajui kuimba. Kama Bella unasema anajua kuimba mtu kama Tarsis Masela au Charles Baba Kingunge au Ally Choki utawaitaje? Umeanza kufuatilia miziki ya dansi ya bongo lini Kijana? Ukitaka nikubali kuwa Bella anajua kuimba naomba umwambie aache kuiga nyimbo za Koffi Olomide na za Werrason kisha anakuja kuzibadilisha kidogo tu huku bongo na kujifanya kuwa ametunga yeye na anawateka watu msiojua na sasa mnamuona fundi. Hana lolote huyo! Ukitaka burudani ya muziki kesho karibu Mango garden kwa Twanga pepeta na leo ukipata muda jongea pale Mashujaa grill victoria kwa Mashujaa band upate ladha halisi ya muziki wa dansi.
 
Kama ni kwa kuvaa, kujiremba na kujishaua kweli Bella yupo juu ila katika suala la kuimba nakupinga kwa 100% kuwa Bella hajui kuimba. Kama Bella unasema anajua kuimba mtu kama Tarsis Masela au Charles Baba Kingunge au Ally Choki utawaitaje? Umeanza kufuatilia miziki ya dansi ya bongo lini Kijana? Ukitaka nikubali kuwa Bella anajua kuimba naomba umwambie aache kuiga nyimbo za Koffi Olomide na za Werrason kisha anakuja kuzibadilisha kidogo tu huku bongo na kujifanya kuwa ametunga yeye na anawateka watu msiojua na sasa mnamuona fundi. Hana lolote huyo! Ukitaka burudani ya muziki kesho karibu Mango garden kwa Twanga pepeta na leo ukipata muda jongea pale Mashujaa grill victoria kwa Mashujaa band upate ladha halisi ya muziki wa dansi.
KIJANA KWANZA RUDISHA HESHMA YANGU..... hii ndo shida JAKAYA ametuachia vijana dot.com kama nyinyi.. wakurupukaji.. ni sheeeddah
hebu tunga wewe wako tuone kama utaweza japo wa kukopi tu afu rusha humu uombe wakusapoti.
kwani nimekosea wapi kusema hakuna kama BELLA?
basi naongezea waimbaji wa bongo uliowataja si lolote si chochote.
 
KIJANA KWANZA RUDISHA HESHMA YANGU..... hii ndo shida JAKAYA ametuachia vijana dot.com kama nyinyi.. wakurupukaji.. ni sheeeddah
hebu tunga wewe wako tuone kama utaweza japo wa kukopi tu afu rusha humu uombe wakusapoti.
kwani nimekosea wapi kusema hakuna kama BELLA?
basi naongezea waimbaji wa bongo uliowataja si lolote si chochote.

Kwani wewe unajua umri wangu? Humu tunajuana miaka yetu? Anyway ukweli upo pale pale kuwa katika Wanamuziki mafundi hapa Tanzania Bella wako anazidiwa na wengi tu. Utamsifiaje Bella na kumwacha fundi Patcho Mwamba Tajiri na wengineo ambao ndiyo wamempokea na kumfundisha mziki huyo Bella wako?
 
Kwani wewe unajua umri wangu? Humu tunajuana miaka yetu? Anyway ukweli upo pale pale kuwa katika Wanamuziki mafundi hapa Tanzania Bella wako anazidiwa na wengi tu. Utamsifiaje Bella na kumwacha fundi Patcho Mwamba Tajiri na wengineo ambao ndiyo wamempokea na kumfundisha mziki huyo Bella wako?

Gentamycine,achana kubishana na watu wasojua muziki.Watu hawa hawajui muziki hadi washawishiwe na ma DJ uchwara,wasojua kitu kama wao.Christian Bella kwa tujuao mambo ya muziki hana lolote zaidi ya kujikweza. Nani kama mama ule ni wimbo Wa Kwaya
 
Gentamycine,achana kubishana na watu wasojua muziki.Watu hawa hawajui muziki hadi washawishiwe na ma DJ uchwara,wasojua kitu kama wao.Christian Bella kwa tujuao mambo ya muziki hana lolote zaidi ya kujikweza. Nani kama mama ule ni wimbo Wa Kwaya

Bora umesema wewe Mkuu ningesema mimi hapo ningeshambuliwa sana hapa. Na narudia tena kwa msisitizo kuwa Christian Bella hajui muziki wala hajui kuimba na tunaoujua muziki wa dansi kila siku tunamdharau na kuna siku nakumbuka alijipendekeza pale maeneo ya TCC Sigara tukiwa tumekaa na mafundi wa muziki tena wengi ni Wakongo wenzie wa FM Academia alipowaona akajifanya kusalimia watu wengine na kuturuka kwa makusudi pale tulipokuwa tumekaa ndipo alipoiona siku ile chungu kwani alishushiwa makavu yake na akina pablo masai, patcho na kardinal gento hadi jamaa ikabidi amchukue demu wake na kuondoka pale ukumbini. Na cha kushangaza hao hao anaowadharau na kuwaringia na kupitia msaada wa aliyekuwa Kipa wa zamani wa Yanga Doyi Moki ndiyo waliomtoa huko Kwao Congo alipokuwa anataabika tu leo kajua kubadili mboga mbili tatu na anatembelea makalio basi taabu tupu mjini hapa. Ukitaka muziki nenda Twanga Pepeta au Mashujaa Band au FM Academia kwingine kote huko unapoteza muda na pesa zako tu.
 
Back
Top Bottom