Nani kalipia muda wa maongezi wa Kingunge N. Mwiru?

Habari Zenu, Leo Jumapili, Imechezwa Sinema Nzuri Sana, Kimetokea Kifo Cha Mtikila Kwa Ajali Ya Sintofahamu, Lakin Kupunguza Attention Ya Watu Katika Uchunguz Uo, Akaibuka Mzee Kingunge Na Kuita Waandish Wa Habari Kuwa Ana Ya Kuzungumza Juu Ya Siasa, Nauliza Maswali Manne,

1. Nani Kamlipia Muda Wa Kuwa Hewan? Wa Kuitisha Waandish Wa Habari?
2. Je, Wazir Mkuu Alokuwa Amemmilikisha Pale Ubungo Kwa Kumpendelea Mnamkumbuka? Mpaka Anapewa NPS??
3. Je. kwanin ajali ya mtikila itokee wakati ametangaza kuweka kipingamiz kwa mgombea?
4. Kwanin iwe siku ya kifo cha mtikila ndo tamko la siasa litolewe na kingunge? Au alikuwa ameshaahidi kabla kuwa leo ataita kikao?

Nauliza tu haya ni maswali simple yalobeba uzito mkubwa,
PLZ MWENYE KUELEWA ATUELEWESHE JUU YA ILI MAANA WENGNE HATUNA UELEWA SANA KWENYE KU CONNECT DOTS,

DR.RWEYENDERA okashala batelura!
 
Kwanza mkutano wenyewe na waandishi wahabari kafanyia nyumbani kwake na sio ukumbini kama alivyofanya msaliti Slaa mzee wa kulala kwenye gari. Pili kifo cha mtikila sio kwamba yeye Mtikila alikuwa na expire date kwamba muda wake wa kufa ulikua haujafika. Hiyo ni ajali kama ajalia nyingine. Kwa hiyi usitake watu wakuelewe kama unavyotaka wewe. Usiwe unaruhusu akili yako inachepuka alafu inaacha kichwa chako kitupu kama kifuu cha nazi. Usikurupuke tena siku nyingine. Sawa dada! Mabadiliiiikoooooo.

Mmemuelewa Tatizo Siyo Hotel Tatizo Kurusha Hewan
 
....gharama zake kila mwandishi atasubiri bahasha....ukiwa na 3 Mil zinatosha kuwaalika waandishi wa habari 20 hivi....
 
Ukimsoma kingunge vizuri ni kama amejibu yote haya
1. Kingunge unafikiri ni maskini kama unafidhani
2. Mungu adhihakiwi , narudia tena ccm na uvccm aliosema kungunge mkiacha papara na mihemko mkitulia kuna funzo kubwa sana kwenye vifo vya komba, selina na mtikila.

Kaa! usiache Faizar Fox na Nape wakazimia kwa hofu!!
 
Watanzania tuwakatae kundi la Ma freemasons Lowasa na wenzake na hatari kwa mustakabali wa taifa letu.Umenena vema mkuu.
ni kweli wewe hatukutaki kwani mawazo yako ni finyu na pia hujui kusoma nyakati, pia huna mungu kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, ni kwambie mungu yuko kazini ccm lazima njeeeeeeeeeee
 
Kwenye suala la kulipia matangazo wewe ni MPUMBAVU!Mjinga tu haitoshi maana umeuliza swali la kipumbavu sana.
Mzee Kingunge unataka kumfananisha na Slaa tuliyehoji nani alimlipia muda wa matangazo?
Kingunge na ukongwe wake,tena kashika nyadhifa mbalimbali na kubwa ndani ya chama dola ni wa kuhojiwa kapata wapi pesa?
Angalieni maswali ya kuuliza jamani,sio unakuja na maswali yako unatuachia wengine maswali na kukushangaa juu.

Jibu kalipiwa yaishe.
 
Maajabu! Yaani hii elimu ya kizazi cha sasa haikuwapa wanafunzi nafasi ya kujenga uwezo wa kufikiri....hata mambo ya kawaida tu.

1) Huyo kaita waandishi nyumbani kwake, gharama ni chai/maji/karanga na vitu km hivyo.

2) Media hutaka/hutafuta habari (preferably ikiwa ya moto) so ukiwaita watakuja endapo kama wanaona una hadhi fulani + huenda habari yako ikawa na value kwao (unauzika)..... hivyo sio lazima wapewe bahasha za kaki (Pasco).

3) Kwani waandishi wanapoenda kufuatilia/kuripoti matukio mfano moto, ajali nk huwa inakuwaje?

Labda mleta mada angehoji gharama iwapo kama Kingunge akikwenda kwenye ukumbi, hoteli nk.

Rushwa imekidhiri na kuwa sehemu ya maisha ya Watanzania kiasi kwamba kila jambo lazima linatazamwa kwa miwani hiyo hiyo. Nasema haya kwa hili la Kingunge na kwa mengine mengi yaliyopita.

Umenifurahisha sana aisee.

Walau bado kumbe watu wenye akili na ambao huzitumia akili zao bado wapo!

Mtu ni public figure aliyewahi kushika nafasi mbalimbali za juu katika serikali na chama tawala.

Anapoitisha mkutano na waandishi wa habari nyumbani kwake, tena katikati ya vuguvugu la uchaguzi, huku akiwa ni mmoja wa watu maarufu waliokuwa wanamuunga mkono mmoja wa watangaza nia wa CCM waliokatwa, hilo tukio ni newsworthy.

Sasa kwa nini awalipe ITV kutangaza huo mkutano wake wakati yeye nd anawapa habari?

Ujinga bado kabisa hatujaufuta aisee.
 
Press conference huwa zinalipiwa?

Ndo utaratibu wa kibongo huo au?

Hahahaaa duuuh! Toka lini matukio ya habari yakalipiwa na watengeneza habari?

Hiyo ITV huwa inatoza kiasi gani sasa kwa kila press conference?

Na wale watu ambao huwa wanahojiwa kwenye sehemu mbalimbali za matukio mbalimbali nao huwa wanalipwa kutoa maoni yao?

Unadhani unauza sura kwenye press conference bure bure? Halafu umewaita nyumbani kwa raha mustarehe, wanachoma mafuta, wanakurushia live (siyo recorded) bure?

Hebu jaribu kuwaita uone!
 
Unadhani unauza sura kwenye press conference bure bure? Halafu umewaita nyumbani kwa raha mustarehe, wanachoma mafuta, wanakurushia live (siyo recorded) bure?

Hebu jaribu kuwaita uone!

Kazi ya waandishi wa habari ni kutafuta habari.

Ukiwapigia simu uwaambie kuna tukio lililo newsworthy mahali fulani basi ni jukumu lao kwenda na kui cover hiyo habari.

Huwalipi wao kuja ku cover habari. Wanalipwa na mwajiri wao.
 
Kwani mzee Kingunge kasindikizwa na watu wa Usalama wa Taifa? nae alilala Serena Hotel chini ya udhamini wa CCM? kwani kabla ya press conference alikutana na Mwakyembe, Lukuvi, Kinana na Nchemba? hayo ndio majibu ya maswali yako ya KIPUMBAVU
 
Back
Top Bottom