S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,653
- 32,890
Nani kamlipia??
Yule sio wa kulipiwa kama wewe
Nani kamlipia??
Habari Zenu, Leo Jumapili, Imechezwa Sinema Nzuri Sana, Kimetokea Kifo Cha Mtikila Kwa Ajali Ya Sintofahamu, Lakin Kupunguza Attention Ya Watu Katika Uchunguz Uo, Akaibuka Mzee Kingunge Na Kuita Waandish Wa Habari Kuwa Ana Ya Kuzungumza Juu Ya Siasa, Nauliza Maswali Manne,
1. Nani Kamlipia Muda Wa Kuwa Hewan? Wa Kuitisha Waandish Wa Habari?
2. Je, Wazir Mkuu Alokuwa Amemmilikisha Pale Ubungo Kwa Kumpendelea Mnamkumbuka? Mpaka Anapewa NPS??
3. Je. kwanin ajali ya mtikila itokee wakati ametangaza kuweka kipingamiz kwa mgombea?
4. Kwanin iwe siku ya kifo cha mtikila ndo tamko la siasa litolewe na kingunge? Au alikuwa ameshaahidi kabla kuwa leo ataita kikao?
Nauliza tu haya ni maswali simple yalobeba uzito mkubwa,
PLZ MWENYE KUELEWA ATUELEWESHE JUU YA ILI MAANA WENGNE HATUNA UELEWA SANA KWENYE KU CONNECT DOTS,
Kwenye suala la kulipia matangazo wewe ni MPUMBAVU!Mjinga tu haitoshi maana umeuliza swali la kipumbavu sana.
Mzee Kingunge unataka kumfananisha na Slaa tuliyehoji nani alimlipia muda wa matangazo?
Kingunge na ukongwe wake,tena kashika nyadhifa mbalimbali na kubwa ndani ya chama dola ni wa kuhojiwa kapata wapi pesa?
Angalieni maswali ya kuuliza jamani,sio unakuja na maswali yako unatuachia wengine maswali na kukushangaa juu.
Maajabu! Yaani hii elimu ya kizazi cha sasa haikuwapa wanafunzi nafasi ya kujenga uwezo wa kufikiri....hata mambo ya kawaida tu.Hivi kuitisha mkutano na waandishi wa habari nako kuna gharama za kifedha?
Ni kawaida pote duniani kwa wamiliki wa vyombo vya habari kuwaive gharama za matangazo iwapo yana maslahi mapana kwa walengwa. ITV kama kituo kisichoegemea upande ktk siasa za tanzania nahisi wametekeleza wajibu huo. Star TV wao ni matangazo ya ccm 24x7 lzm tuheshimu msimamo wao. Hoja hapa ni kuwa kujiuzuru kwa kingunge ni tukio la kihistoria lenye funzo kwa maendeleo ya kisiasa tanzania.
Mwaka wa nyumbu kula tope, wewe mama, mume wako ana taabu sana kwa nini wachaga ni wakabila sana nenda kila sector ukikuta mchaga ni bosi basi wa chini yake wote ni kasikazini, mkipewa nchi si itakuwa balaa
Habari Zenu, Leo Jumapili, Imechezwa Sinema Nzuri Sana, Kimetokea Kifo Cha Mtikila Kwa Ajali Ya Sintofahamu, Lakin Kupunguza Attention Ya Watu Katika Uchunguz Uo, Akaibuka Mzee Kingunge Na Kuita Waandish Wa Habari Kuwa Ana Ya Kuzungumza Juu Ya Siasa, Nauliza Maswali Manne,
1. Nani Kamlipia Muda Wa Kuwa Hewan? Wa Kuitisha Waandish Wa Habari?
2. Je, Wazir Mkuu Alokuwa Amemmilikisha Pale Ubungo Kwa Kumpendelea Mnamkumbuka? Mpaka Anapewa NPS??
3. Je. kwanin ajali ya mtikila itokee wakati ametangaza kuweka kipingamiz kwa mgombea?
4. Kwanin iwe siku ya kifo cha mtikila ndo tamko la siasa litolewe na kingunge? Au alikuwa ameshaahidi kabla kuwa leo ataita kikao?
Nauliza tu haya ni maswali simple yalobeba uzito mkubwa,
PLZ MWENYE KUELEWA ATUELEWESHE JUU YA ILI MAANA WENGNE HATUNA UELEWA SANA KWENYE KU CONNECT DOTS,
Hili ndio jibu alitakiwa kupewa mleta mada na wale wenzake ambao huwa wanafikiri negatively. Sio kila habari lazima ilipiwe, kwani ule ujio wa Obama kuonyeshwa live kuna mtu aliwalipa au wenyewe walitafuta hiyo fursa? Unadhani kuwe na tukio kubwa wenzako wanalionyesha wewe unapiga taarabu kuna mtu ataangalia kituo chako?
Habari Zenu, Leo Jumapili, Imechezwa Sinema Nzuri Sana, Kimetokea Kifo Cha Mtikila Kwa Ajali Ya Sintofahamu, Lakin Kupunguza Attention Ya Watu Katika Uchunguz Uo, Akaibuka Mzee Kingunge Na Kuita Waandish Wa Habari Kuwa Ana Ya Kuzungumza Juu Ya Siasa, Nauliza Maswali Manne,
1. Nani Kamlipia Muda Wa Kuwa Hewan? Wa Kuitisha Waandish Wa Habari?
2. Je, Wazir Mkuu Alokuwa Amemmilikisha Pale Ubungo Kwa Kumpendelea Mnamkumbuka? Mpaka Anapewa NPS??
3. Je. kwanin ajali ya mtikila itokee wakati ametangaza kuweka kipingamiz kwa mgombea?
4. Kwanin iwe siku ya kifo cha mtikila ndo tamko la siasa litolewe na kingunge? Au alikuwa ameshaahidi kabla kuwa leo ataita kikao?
Nauliza tu haya ni maswali simple yalobeba uzito mkubwa,
PLZ MWENYE KUELEWA ATUELEWESHE JUU YA ILI MAANA WENGNE HATUNA UELEWA SANA KWENYE KU CONNECT DOTS,
Hoja yako offpoint
Habari Zenu, Leo Jumapili, Imechezwa Sinema Nzuri Sana, Kimetokea Kifo Cha Mtikila Kwa Ajali Ya Sintofahamu, Lakin Kupunguza Attention Ya Watu Katika Uchunguz Uo, Akaibuka Mzee Kingunge Na Kuita Waandish Wa Habari Kuwa Ana Ya Kuzungumza Juu Ya Siasa, Nauliza Maswali Manne,
1. Nani Kamlipia Muda Wa Kuwa Hewan? Wa Kuitisha Waandish Wa Habari?
2. Je, Wazir Mkuu Alokuwa Amemmilikisha Pale Ubungo Kwa Kumpendelea Mnamkumbuka? Mpaka Anapewa NPS??
3. Je. kwanin ajali ya mtikila itokee wakati ametangaza kuweka kipingamiz kwa mgombea?
4. Kwanin iwe siku ya kifo cha mtikila ndo tamko la siasa litolewe na kingunge? Au alikuwa ameshaahidi kabla kuwa leo ataita kikao?
Nauliza tu haya ni maswali simple yalobeba uzito mkubwa,
PLZ MWENYE KUELEWA ATUELEWESHE JUU YA ILI MAANA WENGNE HATUNA UELEWA SANA KWENYE KU CONNECT DOTS,
Habari Zenu, Leo Jumapili, Imechezwa Sinema Nzuri Sana, Kimetokea Kifo Cha Mtikila Kwa Ajali Ya Sintofahamu, Lakin Kupunguza Attention Ya Watu Katika Uchunguz Uo, Akaibuka Mzee Kingunge Na Kuita Waandish Wa Habari Kuwa Ana Ya Kuzungumza Juu Ya Siasa, Nauliza Maswali Manne,
1. Nani Kamlipia Muda Wa Kuwa Hewan? Wa Kuitisha Waandish Wa Habari?
2. Je, Wazir Mkuu Alokuwa Amemmilikisha Pale Ubungo Kwa Kumpendelea Mnamkumbuka? Mpaka Anapewa NPS??
3. Je. kwanin ajali ya mtikila itokee wakati ametangaza kuweka kipingamiz kwa mgombea?
4. Kwanin iwe siku ya kifo cha mtikila ndo tamko la siasa litolewe na kingunge? Au alikuwa ameshaahidi kabla kuwa leo ataita kikao?
Nauliza tu haya ni maswali simple yalobeba uzito mkubwa,
PLZ MWENYE KUELEWA ATUELEWESHE JUU YA ILI MAANA WENGNE HATUNA UELEWA SANA KWENYE KU CONNECT DOTS,
Kingunge amelipiwa LIVE media coverage na yule aliyemlipia Dr.W.Mihogo.