Nani kafumaniwa

Kufanya kosa si kosa.. kosa ni kurudia kosa. msamehe!
 

umeoa?nakupenda ghafla
 
mim nakushauri utemane nae huyo dem kaka ,kwavile ameleta mapicha picha atakuletea magonjwa ,weanawakwe hawakuubwa kama adam ndo mana roho zao hazitabirik ,na uwezo wa wakupambanua mambo nn mdogo sana,
 

Wewe baba, usiwe kichwa nazi, hapa ishu sio kwenda club, ishu ni kwanini alidanganya???kama kwa wema na heri kwanini asimjulishe huyu mchumba wake???mahusiano kama yamefikia huko kwenye uchumba lazima umtoe mwenzako doubt, lazima umfanye mwenzako aamini kwamba hakufanya adverse selection.....kwakweli pakishakuwa na uongo na hila hapo hakuna penzi bali kuchezeana akili....
 
Kunguru wa Zanzibar hafugiki. Huyo ni kinguchiro achana naye ASAP na misaada yote kata mara moja.
 
kWANZA kabisa USHAKULA? Maana inabidi utafute kioo (any way hapa nachokoza tu!!)

Lakini nakua pole sana hata uliweza kuvumillia muda wote huo wa hiyo move (ndoto).......ndugu yangu dunia imebadilika sana haya mambo yalikuwa zamani kwamba unaweza kumtrust mtu as such lakini siku hizi watu wote wameoza, wamepotoka na hakuna aliye mwaminifu hata mmoja, ndio maana umeulizwa je ww wenyewe ni mwaminifu kwa kiasi gani? yamkini tunachangia kwa sababu ww una nguvu kubwa na umeshika mpini katika penzi hili (Patriarchy).tumia busara sana katika hili kwa sababu najua kiukweli bado unampenda sana. Kwenye sheria kuna natural justice..itumie hiyo japo wengine watasema hili ni suala a kijamii lakini kumbuka lina impact kotekote--(socio-economic aspect) ndiyo maana umekileta humu kushare kijamii lakini umeingiza masuala ya economic effect.

Katiaka sociolojia na baadhi ya mila wanasema kuna three faces of LOVE...the If love, the because LOVE and despite of LOVE, kWA KIFUPI WATALAMU (Wazaramu) wanasema mafiga matatu yaani anayekupenda kwa fedha, kwa mahaba (kukolezwa) na jinsi ulivyo, naona unachofanya hapa niupendo wa mshumaa.........(unamhudumia mwenzako wakati wewe mwenyewe unateketea) ni kweli kabisa kwamba kunguru hafugiki.....hasa katika tasnia ya malavidavi maana huwezi jua ameanzana nao lini na kwa vipi na much as hampo pamoja na ameshalamba asali (maana kama ni penzi la kuiba huwa linanoga sana) itakuwa ngumu kwako kufanya M and E, ITAWEZEANA kwa siku za mwanzo za makanyo lakini ngoma itarudi tu kwa uzoefu wangu

Any way
  1. Mweleze ukweli wote japo picha ameshaiona (kwa kuthibitisha ulivyoumia hata huu uzi unaweza kumkopia wote akajisomee...huwa ina some outcomes...
  2. Nimeona kama kitendo cha kuishiwa nguvu na kukufuata ni some element ya respect, maana hapo alikuwa anawajulisha kwamba NINA WANGU , kifupi alichagua BEGA LAKE....na huenda alishawajulisha (early warning)
  3. Huwezi jua ni kwa kiwango gani alishazama kwenye hilo penzi....pengine ilikua nwezi nchanga maana huna precedent ya huko nyuma japo machale yalikucheza kwa siku hiyo.........ingawa kizuoni ni dalili fulani tayari ilishaanza kukuingia ukifika hatua hiyo
  4. any way MILUZI MINGI HUMPOTEZA MBWA .....TAFAKARI, CHUKUA HATUA
 
Mkuu, mbona kuna mabinti hapa JF wanatafuta waume wa kuwaoa, si uangalie mmojawapo aliye siriasi mkipendana umwoe? Huyo amenyea kambi, achana nae. Anakuchuna tu huyo hayuko siriasi.
 
pole sana kaka. mi naamin kwanza dem huyo hakufai kabisa hapaswi kuitwa mke wa mtu, kitu kimoja kibaya alichokifanya na mimi kimeniudhi ni kukwambia kuwa amellala na kukutakia usiku mwema then mnakutana Club. Kilichopo we kashakuona mambo poa unampenda, unadrive na unamjali hapo hao wengine ni wa kumpa matakwa ya mwili wake kama sex, make kama hata mnafanya hivo yeye hatosheki kabisa make unakuwa unamhurumia kwa kuwa unawaza siku moja atakuwa mke wako. lakin washikaj wakimgeuza hapo ndo anaona kuwa kafika haswaaaaaaaaa. pole sana kaka kwa hili naomba uachane naye kabisa hafai labda ukiendelea naye awe wa kuzugia na kutumia si wa kuoa.
 

Kijana wangu, hayo maswali yana majibu. Jibu lake ni moja tu. MUACHE. Kamata ufunguo wako, habari ya shule atalipiwa na 'kaka zake'...nadhani umenisoma hapo.
 

:shock::A S-coffee:
 
ngastuka machale kundesa n bora ujue unalea kunguru ww mwenyew unamatatizo huwez kufikia hatua ya kumsomesha n kumlipia m2 mjengu pasipo hata kuwa n abc ya familia yako!matokeo yk ndio hayo ss mara bro mara nn tna usikute ww unat...... wenzio wanakula mtandao kwa gharama nafuu!fukuzia mbali gahaba hlo
 


piga chini. Hajatulia huyo.
 
utasamehe mara ngapi? temana nae wanawake wapo kibao siku hizi na walio na sifa zote.

1. wakuoa
2. wakutumia
3. wakuzugia
Mkuu hawatofautiani sana ujue, na sisi ambao tunawadanganya hatutofautiani sana,wengi tuko hivyo na wao wengi wako hivyo hata ukienda kijijini ukamleta mjini, mjini shule, la maana ni maisha yaendelee mbele, huyu akisamsamehe itakuwa safi maana kesha jifunza hatomdanganya tena.
 
Good advice umetoa sista.... Follow ur heart kwanza then mengine yatafuata.

Mimi ushauri wa kumwambia mtu asikilize moyo wake unamwambiaje,kisa tu ndiyo mhusika sioni kama unamsaidia muomba ushauri. Kwanza nakupa pole.Kusameheka kunafaa sana atakapokiri kosa lake,na akalijutia... Akijiteteatetea na ukaendelea naye,hapo kuna mawili..kutulia na kuogopa kitumbua kuingia mchanga,ama ataendelea na tabia yake hiyo ila kwa tahadhari,na ikitokea ukamfuma tena atajua namna ya kukubembeleza usimwache..
 
msamehe then achana nae na gharama unazomlipia sitiza kuanzia sasa mana inaonekana hakujali tena hana mapenzi ya kweli kwako kwanini akufanyie yote hayo baada ya kumvumania bila shaka kama umeachana nae tafuta mwingine mwenye mapenzi ya kweli
 
kama wale ni kaka zake kwanin alikudanganya kuwa amelala, kwanini asingesema ukweli kwamba anaenda club na kaka zake? ina maana wew kaka zake uwajui hata kwa kuonyeshwa picha tu kama hawa ni kaka zangu? kuna mengi ya siri anayafanya bila wew kujua ila mungu amekusaidia umeweza kujua hilo moja.
ushauri wangu, ningekuwa mim ningeachana naye nianze upya kwa maombi kwa mungu anipatie aliye wangu mana kulazimisha eti atabadilika ukimweka ndani ndo utajuta zaidi. anza upya kaka mungu yupo pamoja nawe. Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…