Kufanya kosa si kosa.. kosa ni kurudia kosa. msamehe!Wakati ananipigia simu kunitakia usiku mwena alionyesha wasiasi fulani hivi. Nina mazoea ya kwenda kwake ila huwa namtaarifu kuwa nakuja. sasa aliponipigia simu kujua kama naenda nikamwambia siendi. Nilibana pale club kusubili muda upite ili nim-suprise kwenda, kumbe ndo Mungu ananiongoza kuona niliyoyaona.
Tatizo la vijana (wachangiaji wengi kwenye hii post), mnajaribu ku-over-act badala ya kufikiria kwa ukaribu zaidi...
Huyu in MCHUMBA (probably - mke mtarajiwa): Huyu binti siyo MKE wa Chimps: Huyu anayo maisha na matarajio yake kama alivyo Chimps: Huyu binti anao uhuru wa kwenda kokote atakako na kujumuika na marafiki zake bile Chimps kuwapo (hawana mkataba hawa wawili so far):::
Kama ilivyo kwa Chimps: akishampatia "lift" na kumfikisha kwake, na yeye Chimps anapitia Rose Garden, Corner Bar, au kwingineko nakujumuika na marafiki zake (bila kumhusisha huyu binti - ni uhakika na hilo):::
Kwahiyo "at this stage" hakuna ambaye "anammiliki" mwenzake - Kumlipia Kodi, Kumsomesha, e.t.c ni mambo unayotenda kwa sababu unamjali (siyo kumpenda - although inawezekana) kama rafiki yako wa karibu na siyo kama "MKE" wako... Wengi tuliochumbia muda mrefu - tulilipa sana KODI, Tulisomesha mpaka ndugu za wachumba, e.t.c - Na wengine hatukuweza kuwa nao kwa sababu mbalimbali - BUT - hatukujilaumu, kwa maana hatukuwa tunatenda hayo kama "UWEKEZAJI"...
Ushauri: Ukimkuta "MCHUMBA" wako mahali (kwenye starehe) bila ya kuwa mmetaarifiana kabla, the best thing you can do ni kusalimiana (possibly na kutamblishana kama anayo kampani yake) basi... Baada ya hapo kila mtu anachukua "time"... Kama "nafasi ipo" mnaweza kujumuika pamoja katika kustarehehe, otherwise, peaneni nafsi ili mpate kufahamiana vizuri!
Tatizo la vijana (wachangiaji wengi kwenye hii post), mnajaribu ku-over-act badala ya kufikiria kwa ukaribu zaidi...
Huyu in MCHUMBA (probably - mke mtarajiwa): Huyu binti siyo MKE wa Chimps: Huyu anayo maisha na matarajio yake kama alivyo Chimps: Huyu binti anao uhuru wa kwenda kokote atakako na kujumuika na marafiki zake bile Chimps kuwapo (hawana mkataba hawa wawili so far):::
Kama ilivyo kwa Chimps: akishampatia "lift" na kumfikisha kwake, na yeye Chimps anapitia Rose Garden, Corner Bar, au kwingineko nakujumuika na marafiki zake (bila kumhusisha huyu binti - ni uhakika na hilo):::
Kwahiyo "at this stage" hakuna ambaye "anammiliki" mwenzake - Kumlipia Kodi, Kumsomesha, e.t.c ni mambo unayotenda kwa sababu unamjali (siyo kumpenda - although inawezekana) kama rafiki yako wa karibu na siyo kama "MKE" wako... Wengi tuliochumbia muda mrefu - tulilipa sana KODI, Tulisomesha mpaka ndugu za wachumba, e.t.c - Na wengine hatukuweza kuwa nao kwa sababu mbalimbali - BUT - hatukujilaumu, kwa maana hatukuwa tunatenda hayo kama "UWEKEZAJI"...
Ushauri: Ukimkuta "MCHUMBA" wako mahali (kwenye starehe) bila ya kuwa mmetaarifiana kabla, the best thing you can do ni kusalimiana (possibly na kutamblishana kama anayo kampani yake) basi... Baada ya hapo kila mtu anachukua "time"... Kama "nafasi ipo" mnaweza kujumuika pamoja katika kustarehehe, otherwise, peaneni nafsi ili mpate kufahamiana vizuri!
Kufanya kosa si kosa.. kosa ni kurudia kosa. msamehe!
sasa najiuliza maswali yasiyo na majibu
1. Kuna haja ya kuendelea naye
2. ananiambia wale ni kaka zake, je kaka kwa staili ile, na alitegemea kulala wapi maana nyumba anayoishi geti linafungwa saa nne kamili.
3. nilikuwa namlipia masomo ya kuendeleza shule yake, je niendelee au ndo mwisho??
4. nyumba anayoishi nailipia mimi maana mimi kwangu nakaa na wadogo zangu na hatujaanza kuishi pamoja, je nitaendelea kulipa
Naomba ushauri,
Chimps
Wewe baba, usiwe kichwa nazi, hapa ishu sio kwenda club, ishu ni kwanini alidanganya???kama kwa wema na heri kwanini asimjulishe huyu mchumba wake???mahusiano kama yamefikia huko kwenye uchumba lazima umtoe mwenzako doubt, lazima umfanye mwenzako aamini kwamba hakufanya adverse selection.....kwakweli pakishakuwa na uongo na hila hapo hakuna penzi bali kuchezeana akili....
ni saa kumi na mbili jioni natoka kazini, nampita demu wangu ili nimpeleke kwake na mimi nirudi zangu kwangu.
Mara ananiambia nimpitishe mahala kuna club fulani karibu na kwake akachukue mzigo wake fulani kwa rafiki yake. Nafanya hivyo na tulipofika nje ya hiyo club nikapokea simu inayonilazimu nirudi ofisini. Hivyo tukakubaliane achukue mzigo na aende nyumbani maana mimi narudi ofisini. Nimekaa ofisini mpaka saa mbili usiku, akanipigia simu kuwa ameshalala na akanitakia usiku mwema. Nami nikamweleza kwamba ndo naelekea kwangu. Ila machale yakanicheza ikabidi nipite kwenye ile club, nika-paki gari mbali kidogo, nikaingia ndani ya hiyo club nikaagiza maji na kijichimbia kenye kona fulani ina kagiza.
Mtumeeeeee!!!, baada ya dakika kumi hivi sikuamini macho yangu kumuona demu huyohuyo anaingia akiwa ametinga pedo laini, mapaja yote nje. Akaenda kukaa meza moja walikaa mabrother men na baadhi ya mademu. Kilicho niuma ni brother men mmoja kumpokea kwa busu, wakakaa then demu akawaamemkumbatia huyo brother. Kweli roho iliuma kinoma. Nikawaacha waendelee na mishemishe zao, mara wanyanyuke wasindikizane nje, waende kwenye gari kutafuta koti na mengine.
Ulipopigwa mziki wa hakunaga, meza yao wote alinyanyuka na kuanza kusakata rumba. At around saa nne na robo wakawa wameshakolea kilevi. Sasa wakati anasakata rumba gafla demu kaniona nikiwa kona nimekaa nami namuangalia. Nguvu ya kucheza iliisha, akaangalia chini kwa aibu, akaja kunifuata. Kuja tu nikamzuia asinifuate aendelee na starehe maana mimi sijamuita. Then mimi nikaondoka zangu.
Sasa najiuliza maswali yasiyo na majibu
1. Kuna haja ya kuendelea naye
2. Ananiambia wale ni kaka zake, je kaka kwa staili ile, na alitegemea kulala wapi maana nyumba anayoishi geti linafungwa saa nne kamili.
3. Nilikuwa namlipia masomo ya kuendeleza shule yake, je niendelee au ndo mwisho??
4. Nyumba anayoishi nailipia mimi maana mimi kwangu nakaa na wadogo zangu na hatujaanza kuishi pamoja, je nitaendelea kulipa
naomba ushauri,
chimps
Mkuu hawatofautiani sana ujue, na sisi ambao tunawadanganya hatutofautiani sana,wengi tuko hivyo na wao wengi wako hivyo hata ukienda kijijini ukamleta mjini, mjini shule, la maana ni maisha yaendelee mbele, huyu akisamsamehe itakuwa safi maana kesha jifunza hatomdanganya tena.utasamehe mara ngapi? temana nae wanawake wapo kibao siku hizi na walio na sifa zote.
1. wakuoa
2. wakutumia
3. wakuzugia
Good advice umetoa sista.... Follow ur heart kwanza then mengine yatafuata.