Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
Naona katika mazingira hayo ni ngumu yeye kuchomoka.Mimi MTU hawezi kunipiga hivyo, over
Si amrukie mmoja amng'ate sikio aondoke nalo
Tumieni chrome browser mbona safi tuHii hata kwangu ni hivohivo
Atachomokaje mbele ya mbavu nene na kimwili chake chaki Daz Baba๐ ๐ ๐Naona katika mazingira hayo ni ngumu yeye kuchomoka.......
Dah! ni kama kaingia kwenye mdomo wa mamba, hadi mamba aamue kughairi siyo rahisi.Atachomokaje mbele ya mbavu nene na kimwili chake chaki Daz Baba๐ ๐ ๐
Nimemtambua mmoja, siyo wale wa central, ni idara nyingineMikwaju interchange๐ ๐ ๐ unaweza kuta chalii ni mwizi sema kaingia cha kike! Ponjoro kavuta waya Central
Hapo naskia kuna lisaut la mkuu wa kituo kabisa, hebu reteni risimu tuangalie hilo rinamba ๐๐๐ hapo vijana lazma wamwage moto wa maana! Kufanya uhalifu zama hizi za sifa za mbele ya camera inahitaji moyo kweli! Watu wanaweza wakakuumiza ili wakupost tu!Dah! ni kama kaingia kwenye mdomo wa mamba, hadi mamba aamue kughairi siyo rahisi.
Hawako pamoja si unaskia wanaompiga mmoja anasema "wanakera hawa"Ukimsikiliza anaepigwa inaonekana ni jamii moja na wanaompiga
Jaribu kutuulizia hilo tukio lina husu nini,yaani tupate ukweli juu ya hilo tukio.Nimemtambua mmoja, siyo wale wa central, ni idara nyingine
Basi hawa watakuwa vituo vya kitongoji vitongoji wale!Nimemtambua mmoja, siyo wale wa central, ni idara nyingine