Nani atazishauri mamlaka za Tanganyika?

Nani atazishauri mamlaka za Tanganyika?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,175
Reaction score
829,138
Taifa liko kwenye mkwamo wa vifo vya maelfu, maombolezo ni kila kina, vilio ni kila mahali matanga ni kote
Wengine wamezika nguo... Wengine bado wanawatafuta wapendwa wao, sintofahamu ni kubwa sana kwa ambao hawajulikani walipo ... Majeruhi ni wengi, acha walio mahabusu na wale waliopewa kesi za uhaini... Tusiwasahau na waliofichwa kwenye nyumba za siri za mateso

Kwa mshangao mkubwa na taharuki ya kuishangaza dunia ccm kwa kushirikiana na mamlaka wako busy kuapishana bungeni na kupeana vyeo

Hakuna kauli ya chama

Hakuna kauli ya serikali

Hakuna kauli za viongozi

Wote wako kimya as if nothing bad has happened!

Ninini hiki lakiniTanganyika inapitia!?😭😭😭
 
Aisee yaani shughuliza za bunge,mahakama zinaendelea kama kwamba hakuna kilichotokea hakuna bendera kushushwa ,waziri mkuu anachekaaaaaa kana kwamba hakuna lililotokea yaani hakuna kiongozi aliyesikitika😭 halafu majeshi yote yanatisha raia tu
 
Mkuu CCM ishajifia, na hao unaowaona ni wahuni tu….ila bomu wanalotengeneza likija lipuka kwa mara nyingine itakuwa hapatoshi…hao ni marehemu watarajiwa..chuki iliyotengenezwa na haya mauaji…moto utakuja kuwaka ni swala la muda…kama vyombo vya ulinzi na usalama hawalioni hili…basi Mungu amewatia upofu ili jambo liwakute wote…lakini haki lazima itafutwe kwa namna gani, ndo inafikirisha na kuogopesha.
 
Mkuu CCM ishajifia, na hao unaowaona ni wahuni tu….ila bomu wanalotengeneza likija lipuka kwa mara nyingine itakuwa hapatoshi…hao ni marehemu watarajiwa..chuki iliyotengenezwa na haya mauaji…moto utakuja kuwaka ni swala la muda…kama vyombo vya ulinzi na usalama hawalioni hili…basi Mungu amewatia upofu ili jambo liwakute wote…lakini haki lazima itafutwe kwa namna gani, ndo inafikirisha na kuogopesha.
 
IMG-20251112-WA0063.jpg
 
Taifa liko kwenye mkwamo wa vifo vya maelfu, maombolezo ni kila kina, vilio ni kila mahali matanga ni kote
Wengine wamezika nguo... Wengine bado wanawatafuta wapendwa wao, sintofahamu ni kubwa sana kwa ambao hawajulikani walipo ... Majeruhi ni wengi, acha walio mahabusu na wale waliopewa kesi za uhaini... Tusiwasahau na waliofichwa kwenye nyumba za siri za mateso

Kwa mshangao mkubwa na taharuki ya kuishangaza dunia ccm kwa kushirikiana na mamlaka wako busy kuapishana bungeni na kupeana vyeo

Hakuna kauli ya chama

Hakuna kauli ya serikali

Hakuna kauli za viongozi

Wote wako kimya as if nothing bad has happened!

Ninini hiki lakiniTanganyika inapitia!?😭😭😭
View attachment 3501388
Tumeruhusu akili ndogo ituongoze ndiyo madhara yake hayo. Ama kweli hujafa hujaumbika! Leo Tanganyika tunashuhudia binadamu akifananishwa na sisimizi? Maana sisimizi unapita tu unawakanyaga, unawasagasaga bila kujali wewe unaendelea na safari mama yenu ameua sisimizi ndiyo maana hajali anaendelea kuteua na kuapisha tu!.Gen-Z waamue hatima yao!
 
Taifa liko kwenye mkwamo wa vifo vya maelfu, maombolezo ni kila kina, vilio ni kila mahali matanga ni kote
Wengine wamezika nguo... Wengine bado wanawatafuta wapendwa wao, sintofahamu ni kubwa sana kwa ambao hawajulikani walipo ... Majeruhi ni wengi, acha walio mahabusu na wale waliopewa kesi za uhaini... Tusiwasahau na waliofichwa kwenye nyumba za siri za mateso

Kwa mshangao mkubwa na taharuki ya kuishangaza dunia ccm kwa kushirikiana na mamlaka wako busy kuapishana bungeni na kupeana vyeo

Hakuna kauli ya chama

Hakuna kauli ya serikali

Hakuna kauli za viongozi

Wote wako kimya as if nothing bad has happened!

Ninini hiki lakiniTanganyika inapitia!?😭😭😭
View attachment 3501388
Ninachofikiri ni ama tuu Luca arejeshewe ubongo wake kwani inaonyesha anao ushawishi!
 
Tanganyika imetolewa sadaka kwa Lucifer, tusipo ikomboa inapotea.
Leo gazeti la Mwanahalisi kuna habari juu ya Jk alivyo kinyonga habari inasema mtu huyu hapendi mafanikio ya kiongozi mwingine akubalike kuliko yeye, mfano alimgeuka rafiki yake wakitambo Lowasa, alimhujumu Magu baada ya kuona anafanya vizur kuliko yeye, sahivi yupo kwa s100.
Watu wa usalama amkeni.
 
Mungu yupo asiyelala wala asiyesinzia,Mungu aliyemuumba wa wanadamu wote aliumba hata watu wabaya kwa siku ya ubaya,Mungu huyu wa haki anayehukumu kwa haki.

Mungu haangalii cheo hivi vyeo ni sisi tunapeana hapa duniani,ila kwa Mungu wanadamu wote aliowaumba wote wana thamani sawa mbele za uso wake ,hakuna mwanadamu aliye bora zaidi ya mwingine ,hakuna mwanadamu mwenye uhalali au haki ya kunyanganya uhai au kumwaga damu ya mwanadamu mwenzake kwa sababu yoyote ile hata kama ana cheo chochote cha duniani ila kwa Mungu cheo chako hakina any sense Mungu ndio mfalme wa wa falme ,king of kings Bwana wa mabwana,mwanzo na mwisho.

Walikuwepo hapa duniani watu mashuhuri waliokuwa wakisifika kwa sifa mbalimbali za kidunia,lakini tusijisifu kwa mabaya ,lakinj mwisho wa JEURI NA KIBURI cha wanadamu ,huwa ni kuanguka na kushushwa chini kwa AIBU.

MAONO YA KINABII yaliyotabiriwa miaka mitano iliyopita na watu wa Mungu ,ni kwamba HAYA YATAISHA within this two years,not more than two bad years...baada ya miaka hii miwili ya tabu na machozi...ni mwanzo wa ule mwisho wa kuangushwa kwa KIBURI cha dunian,tena hata miaka miwili haitatimia...haitaisha ...MWANZO MPYA MZURI unakuja ..baada ya dhiki mateso makali...inakuja faraja...ni mwanzo wa ule mwisho,kunakwenda kuzaliwa maisha mapya mazuri ya asali na maziwa.
Tukeshe kwenye kuomba Mungu ,tujitakase kwa toba ,tuombe juu ya familia zetu,juu ya taifa ,juu ya watu wote ,ili Mungu atuepushe na mabaya yote yanayokuja ndani ya hiki kipindi kibaya sana kinachokuja...ili tupate neema yake Mungu kuiona hiyo neema yake atakapoifanya upya KESHO njema ya asali na maziwa nasi tuwepo kushihidia matendo yake makuu aloyotutendea.
TUOMBE UZIMA ,KESHO NJEMA INAKUJA...
 
Back
Top Bottom