Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,175
- 829,138
Taifa liko kwenye mkwamo wa vifo vya maelfu, maombolezo ni kila kina, vilio ni kila mahali matanga ni kote
Wengine wamezika nguo... Wengine bado wanawatafuta wapendwa wao, sintofahamu ni kubwa sana kwa ambao hawajulikani walipo ... Majeruhi ni wengi, acha walio mahabusu na wale waliopewa kesi za uhaini... Tusiwasahau na waliofichwa kwenye nyumba za siri za mateso
Kwa mshangao mkubwa na taharuki ya kuishangaza dunia ccm kwa kushirikiana na mamlaka wako busy kuapishana bungeni na kupeana vyeo
Hakuna kauli ya chama
Hakuna kauli ya serikali
Hakuna kauli za viongozi
Wote wako kimya as if nothing bad has happened!
Ninini hiki lakiniTanganyika inapitia!?😭😭😭
Wengine wamezika nguo... Wengine bado wanawatafuta wapendwa wao, sintofahamu ni kubwa sana kwa ambao hawajulikani walipo ... Majeruhi ni wengi, acha walio mahabusu na wale waliopewa kesi za uhaini... Tusiwasahau na waliofichwa kwenye nyumba za siri za mateso
Kwa mshangao mkubwa na taharuki ya kuishangaza dunia ccm kwa kushirikiana na mamlaka wako busy kuapishana bungeni na kupeana vyeo
Hakuna kauli ya chama
Hakuna kauli ya serikali
Hakuna kauli za viongozi
Wote wako kimya as if nothing bad has happened!
Ninini hiki lakiniTanganyika inapitia!?😭😭😭