Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Mkuu katiba inasema, waziri atatoka ndani ya bunge la jamhuri ya muungano wa TZ. Haijasema kama ni lazma awe wa CCM.
Kasome tena.
Mkuu katiba inasema, waziri atatoka ndani ya bunge la jamhuri ya muungano wa TZ. Haijasema kama ni lazma awe wa CCM.
Hapana bila uelewa haya bana! kama uchumi siku hizi ni kushika mitutu ya bunduki na namna ya kupanga bajeti ya silaha!
Nilimpendekeza mwanzoni kabisa nikaonekana mnywa viroba. Ila yule anafaa kwani tutakuwa tunahimizwa kulipa kodi kwa nyimbo murua za kwaya.
Hata mimi ndo ningekua JK ningemteua Lipumba kuwa Mbunge then nimpe Uwaziri wa fedha kwa kua vyama vyetu vya Afrika hili litawezekana kama Obama alivyofanya.Then Apewe Mwiguli Nchembaanna makinda!
Keshazeeka yule. Na kiprotokali, mtu akiwa spika wa bunge itakuwa ni jambo baya sana kumpeleka kwenye muhimoli mwingine wa dola yaani Executive
Amepita,tutamwapisha hata kama hana dini tutatafuta utaratibu wa kumwapisha ailinde na kuitetea katiba ya nchi ili asipofanya hivyo,na akafanya kama alivyo fanya kwenye ziara yake ya kikazi nje ya nchi Tuweze kumshitakiJoyce Mukya
Mkuu jaribu kufanya kautafiti kadogo, hawa wachumi wa wenzetu karibu wote ni member wa secret service wa nchi zao! Hawa watu mbali na kujua ABC za uchumi pia wanajua kulobby kwa kwenda mbele, hawa watu huwa wanacheza mchezo mchafu wa kuwaingiza kinga armatures wetu kupita maelezo... tumechoka kuandaliwa figure za maendeleo ya kiuchumi na IMF na WB...projections zao mara nyingi hazina ukweli na zinamalengo ya kutufanya tegemezi....Tunahitaji mashushu wenye uelewa wa uchumi kuongoza hiyo wizara... Kwangu mimi nadhani January Makamba atafaa ingawa ana madhaifu yake...
Watanzania tumerogwa, na aliyeturoga nae karogwa. Yaani kuongea kiingereza kwa ufasaha ndo tiketi kuwa waziri? Pambaffff!!!