JOASH MUSSA
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 515
- 199
Ubinadamu umeenda wapi jamani?? Kama ni mtu mwenye roho nzuri, sidhani hata Rais ameshafikiri hilo la nani atamrithi Dr. Mgimwa. Tuwe na ubinadamu kidogo tu jamani. Akiisha kuzikwa, Rais ataanza kuwaza kuwa nilikuwa na Waziri wa fedha sasa hayuko, nimchague nani amrithi?? Ndipo sasa twaweza kumpa dokezo.
Natamani saana unitaje mimi lakini sio kabla ya Mgimwa kuzikwa tafadhali.
Wizara ya fedha ina manaibu wawili, vyema mmoja ambaye anakaimu nafasi ya Dr Mgimwa, aendelee na majukumu ya wizara mpaka 2015, naona ni gharama wizara moja kuwa na mawaziri 3! Kikwete ana mambo