Nani atajaza pengo la Le Mutuz?

Naskia alikuwa dalali

zile totoz anazopiga nazo picha ilikuwa anawaunganisha na vigogo kwa malipo
 
Pengo gani hilo?
Alikuwa mtu wa watu wote,watoto,wakubwa,wanawake,wanaume,matajiri hadi maskini.Alikuwa anatukanwa na watu lakini hakasiriki.Alikubaliana na ukweli hata kama ni mbaya.Ilipodhihiri kwamba ni kibamia,alikiri na hakukasirika.Ni nani mwingine angeweza?
 
Back
Top Bottom