Mara maandamano, mara mgomo, mara kususa na kuzira....
Maani ni zigzaga tu mara serikali 3, mara katiba, mara bandari, mara gharama za maisha yaani ni vulu vulu haijulikani uelekeo ni right, left or center...
Haijulikani dai la msingi ni nini...
maana dandia dandia ni nyingi, pinga pinga kama zote bila ata ya hoja...