Ni kweli mapenzi ni uvumilivu lakini uvumilivu wenyewe ni kuwa unampenda mtu labda kwa kigezo cha sura yake unamuoa kesho unakutana na mtu mwingine ana sura nzuri zaidi yake usipokuwa mvumilivu utamfuata so kama una uvumilivu ndio mapezi kwa mwenzio!
Au unamuoa mtu kesho anapatwa na tatizo kama ulimpendea tuseme vidole vyake anaugua vinakatwa so usipokuwa mvumilivu unamwacha usipo muacha then tunasema una uvumilivu and that is love!
Lakini sio hujamuoa mtu ulidhani yuko salama unamchukua kwenye testing period unagundua anamapungufu na hujaamua kumhalalisha kwenye jamii unaweza jaaribu kwa mwingine kama nilivyofanya ndio maana hata vitabu vya dini vinakutaka kuvumilia kwa shida na raha lakini mke wa ndoa!!!!!!!!!!!!!!!!