Brigedia Chan-ocha
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 1,353
- 2,849
Wadau naamini hapa tuna watu mbali mbali hasa wazalendo kutoka Ikulu, Usalama wa Taifa, Banks, Makampuni mbali mbali na sehemu mbali mbali nyeti.
Hivi haya Madili ya kukwapua fedha za Umma ni nani huyu ambaye huwa anatoa idea kuwa kuna fedha Bank kuu hazina wenyewe twende kuzikwapua?
Nani huyu mweye ubavu wa kutamka hayo maneno na kuweza kuungwa mkono na wahudhuriaji?
Epa, Richmond, Deep Green, ESCROW, Nk. nani ambaye huwa ni wa kwanza kutoa hii idea?
Je idea inaanzia Bank kuu? Ikulu? kwa wafanyabiashara? au wizara ya fedha? au wapi?
Na je hadi idea inamfikia mkulu ni nani mwenye ubavu huo anayejiamini kiasi hicho anaenda kumshirikisha mkulu haya madeal ya hatari hivi?
Hivi haya Madili ya kukwapua fedha za Umma ni nani huyu ambaye huwa anatoa idea kuwa kuna fedha Bank kuu hazina wenyewe twende kuzikwapua?
Nani huyu mweye ubavu wa kutamka hayo maneno na kuweza kuungwa mkono na wahudhuriaji?
Epa, Richmond, Deep Green, ESCROW, Nk. nani ambaye huwa ni wa kwanza kutoa hii idea?
Je idea inaanzia Bank kuu? Ikulu? kwa wafanyabiashara? au wizara ya fedha? au wapi?
Na je hadi idea inamfikia mkulu ni nani mwenye ubavu huo anayejiamini kiasi hicho anaenda kumshirikisha mkulu haya madeal ya hatari hivi?