afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,215
Bora hata aite Manzi
asante sana GY...
mmmmhhhh Manzi jina tamu sana hilo
hahah lol
Bora hata aite Manzi
mimi naona Demu ni jina la kihuni na si sawa kumwita msichana yeyote hivyo...
ni sawa ukiwa unaongea na marafiki zako wengine wa kiume namna hiyo....
kama kuna wengine wanapenda kuitwa hivyo hiyo safi..
binafsi silitaki...
kama huwezi kunipa jina la kheshma niite Afrodenzi ...
samahani kama nimekukwanza lakini napenda kuweka things straight forward from beginning...
AD
Jamani mbona unausononesha mtima wangu? hebu nijibu basi kama unaboifrendi?
Ooohh my dia umeisha umia! wanakagua na kujaribisha hao
OOhh wewe kumbe uko straight!
mmmmmmmhhh Rev ..
babu Asprin hafanyagi hivyo bwana ...
hahahahhaha Rev naona leo umeniamkia lol...
naona ni vizuri kuambiana vitu wazi au we waonaje..???
kama hupendi kitu unasema na kama unapenda kitu unatoa shukrani zako.. au vipi???
Mkuu wangu unaweza kuwa unakosea sana! Kuna jamaa humu zina majina ya kike na hata maandishi yao. Vivyo hivyo kuna wanawake wana ID za kiume. Unaqeza kuamini kama FMES ni demu?
Hii thread yako haina maana yoyote we paka mweusi. Wewe weka mada yenye akili hapa tujadili
hebu nikumbushe wapi nilikuita wewe afrodenzi demu, maana naanza kuchanganyikiwa.mimi naona Demu ni jina la kihuni na si sawa kumwita msichana yeyote hivyo...
ni sawa ukiwa unaongea na marafiki zako wengine wa kiume namna hiyo....
kama kuna wengine wanapenda kuitwa hivyo hiyo safi..
binafsi silitaki...
kama huwezi kunipa jina la kheshma niite Afrodenzi ...
samahani kama nimekukwanza lakini napenda kuweka things straight forward from beginning...
AD
QUOTE=Paka mweusi;Ong`wise kinehe koi wachilagwa?
Nalhe whiza bageshi. Ulemanha abanhu ghete Burn balhe na makoye!
Hii thread yako haina maana yoyote we paka mweusi. Wewe weka mada yenye akili hapa tujadili
Heee kumbe wa ng'wa faza.bhe bhe nkima, waupelaga mlugo?
hahahahah lol...
asante sana mkuu...
bado nasikiliza zile ulizonitumia lol
hebu nikumbushe wapi nilikuita wewe afrodenzi demu, maana naanza kuchanganyikiwa.
hebu nikumbushe wapi nilikuita wewe afrodenzi demu, maana naanza kuchanganyikiwa.
Unasikiaaga raha akikukagua?
umeona hapo chini ???
Heee kumbe wa ng'wa faza.