Kalamu Yangu JF-Expert Member Dec 21, 2016 1,093 1,027 Oct 3, 2017 #5 Na mwisho akakufanya utoe machozi kma alivyotoa mzee wa Fursa
ngebo JF-Expert Member Sep 8, 2017 1,679 2,105 Oct 3, 2017 #6 Ah yani nife kwajili ya dem akati nikifa ataliwa na wenginehuo upuuzi sifanyi naacha tu atangulie au ka vp tusepe wote tu
Ah yani nife kwajili ya dem akati nikifa ataliwa na wenginehuo upuuzi sifanyi naacha tu atangulie au ka vp tusepe wote tu
Bacyclerbacy JF-Expert Member Sep 6, 2016 1,743 3,017 Oct 3, 2017 #7 kadagala1 said: No yes Click to expand...
Jiwedogo JF-Expert Member May 23, 2017 2,811 4,085 Oct 3, 2017 #8 Huo ni upendo walio agizwa wanaume hata kama wakikutana na mwenye kutoa roho yake, kwasababu ya mke anaye mtii
Huo ni upendo walio agizwa wanaume hata kama wakikutana na mwenye kutoa roho yake, kwasababu ya mke anaye mtii
reyzzap JF-Expert Member Oct 3, 2014 6,661 20,995 Oct 3, 2017 #9 Ngoja akoki kile kijidude kinachokuaga nyuma ya pistol kama utaona wanaume wawili hapo
kizaizai JF-Expert Member Mar 31, 2010 5,341 6,495 Oct 3, 2017 #10 Inawezekana sana......kwenye movie.
Kingsharon92 JF-Expert Member Aug 10, 2015 7,554 9,531 Oct 3, 2017 #12 Mimi hapa enzi hizo mapenzi mubashara na bibi yenu lakini siyo leo
F farkhina Platinum Member Mar 14, 2012 14,568 16,906 Oct 4, 2017 #15 Kingsharon92 said: Mimi hapa enzi hizo mapenzi mubashara na bibi yenu lakini siyo leo Click to expand... Hahahahaha leo kimebadilika nini?
Kingsharon92 said: Mimi hapa enzi hizo mapenzi mubashara na bibi yenu lakini siyo leo Click to expand... Hahahahaha leo kimebadilika nini?
Kingsharon92 JF-Expert Member Aug 10, 2015 7,554 9,531 Oct 4, 2017 #16 Si tumezeeka enzi hizo bibi yenu anatetemesha mtaa nilikuwa radhi kuuza hata nyumba ya urithi
chazy255 JF-Expert Member Mar 31, 2016 1,363 1,752 Oct 4, 2017 #18 Unajitoa halafu jamaa anamchukua na kuwa mboga yake, huo ukilaza siwezi.