Fyong'oxi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 266
- 72
Mkuu samahani sijakusoma kabisa!C an you please explain more to make it clear!!
Nywele bandia, wanja , rangi ya ngozi, kucha, kope, lips na hizo boobs na buty etc
Vyote vya dukani.(mchina)
Mkuu samahani sijakusoma kabisa!C an you please explain more to make it clear!!
Precisely!nakubaliana na wewe!!Nywele bandia, wanja , rangi ya ngozi, kucha, kope, lips na hizo boobs na buty etc
Vyote vya dukani.(mchina)
View attachment 63918
Mimi wa katikati,wewe je?
Mpoki.View attachment 63918
Mimi wa katikati,wewe je?
Utaweza kuvumilia na mimaji yote ile ka dawasco, mkuu andaa boya kabisa hapo na kizuia vumbi na harufu puani.kila mtu joketi joketi, mie ilo tipwa tipwa la kushoto ebwana daaaah nikilikamata naendesha kama semi trela la scania
hawa ni wakike ama wakiume
Mkuu hii imetulia, kwakweli inafaa iandaliwe new post yake ili wadau tuitendee haki. Nimependa sana ubunifu huu wa upelekaji ujumbe.Sasa Mpwa kama huyu kaamua kuondoka na "Kiatu" wanakuja watavaa nini? mmmmh nimepienda sana hii