Nani anavutia kati ya hawa .

tuangalie na rangi zetu jamen!mtu mweusi anaweka nywele za gold,na isitoshe anasiriba na lipstick ya pink duh tuangalie tusijekua vituko
 
419780_173201992815997_1982029917_n.jpg
 
naomba kuuliza, hivi kwa nini MABONGE hupenda kuchekacheka hovyo?
 
nilikuwa najionaga mbaya ..nimeamini maisha ni confidence tu jamani
 
Jamani hivi huyo Fideline Iranga ndio diet hiyo mwili umekwisha hivyo au ndio ule ugonjwa?
Ila kwa kweli afadhali na siku zile alipokuwa kibonge, sasa ukondefu huo amekuwa hatazamiki!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom