Nani anavutia kati ya hawa .

wanamgombania fideline iranga waache watoani macho kibaya kwako kizuri kwa wenzako.
 
women looks nice from far but actually they are far from nice
 
samahani wana-jf. huyo wa katikati ni mtu? nahisi nahitaji miwani yenye lensi kali!
ni mpoki yupo kwenye kurekodi kipindi cha za komedi ha ha ha ha
 
mmmmhhhh kama niliwaona maeneo hawa wadungayembe..
 
tuangalie na rangi zetu jamen!mtu mweusi anaweka nywele za gold,na isitoshe anasiriba na lipstick ya pink duh tuangalie tusijekua vituko
 
naomba kuuliza, hivi kwa nini MABONGE hupenda kuchekacheka hovyo?
 
nilikuwa najionaga mbaya ..nimeamini maisha ni confidence tu jamani
 
Jamani hivi huyo Fideline Iranga ndio diet hiyo mwili umekwisha hivyo au ndio ule ugonjwa?
Ila kwa kweli afadhali na siku zile alipokuwa kibonge, sasa ukondefu huo amekuwa hatazamiki!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…