nani anatakiwa kusema asante

nani anatakiwa kusema asante

Anae takiwa kusema asante ni dem, kwakua anae shugulika ni jamaa.
 
Na mimi naomba kuuliza kati ya ME na KE nani anapata utamu/raha zaidi?
,,,,,,,,,MWANAUME LAZMA RAHA UPATE ILA TU MANJONJO YA ..KE YATAIONGEZA IO RAHA ,,,,ONA MME TUNATAKIWA UJUZI/UFUNDI/UTUNDU ILI MKE NAE AFURAHI JAPO SMTIME NAO OVO KWAN WENGNE KA MAGOGO UTATAFUTA HCIA WAPI HATA HAKUNA KUJISHUGHULISHA.......UKISHINDWA WE TAFUTA RAHA YAKO KISHA MALIZA MECHI!!!!!!!! ;;..........teh teh teh teh teh teh
 
 
Last edited by a moderator:
kuwa wazi kwa hiko ulichokimaanisha mi sijakupata,
may be King'asti kakuelewa
Dada yangu kipenzi Heaven on earth ulipouliza kwa nini mwanamke asipewe ahsante wakati anajishughulisha, mimi nikauliza je kwa wale wanawake ambao hawajishughulishi kwa maana ya kumuachia mwanamme kila kitu tena nikatoa mfano wengine wanasoma magazeti, jenao wanastahili ahsante?

Hapo nafikiri wewe na King'asti niliwaacha kidogo. Nilimaanisha hivyo, sasa naomba mnisaidie jibu.
 
Dada yangu kipenzi Heaven on earth ulipouliza kwa nini mwanamke asipewe ahsante wakati anajishughulisha, mimi nikauliza je kwa wale wanawake ambao hawajishughulishi kwa maana ya kumuachia mwanamme kila kitu tena nikatoa mfano wengine wanasoma magazeti, jenao wanastahili ahsante?

Hapo nafikiri wewe na King'asti niliwaacha kidogo. Nilimaanisha hivyo, sasa naomba mnisaidie jibu.

hapo si kuna kitu kitamu amekuachia ambacho wewe uko bize kupump..kwani huwezi kujishugulisha kama huna kitu cha kujishugulishia
huyo nae inabid umpe asante japo kwa kukuachia ile kitu roho inapenda.......
Ingawa next time mambo ya kusoma magazeti wakati mna DO si mahali pake alikuwa wapi kuyasoma mda wote.....
 
hapo si kuna kitu kitamu amekuachia ambacho wewe uko bize kupump..kwani huwezi kujishugulisha kama huna kitu cha kujishugulishia
huyo nae inabid umpe asante japo kwa kukuachia ile kitu roho inapenda.......
Ingawa next time mambo ya kusoma magazeti wakati mna DO si mahali pake alikuwa wapi kuyasoma mda wote.....
Hapo kwenye blue color ndiyo nilipokuwa napataka, ahsante kwa jibu lako zuri.
 
Back
Top Bottom