Nani anastahili kufundisha chuo kikuu?

majeshi 1981

JF-Expert Member
Dec 7, 2013
2,090
812
Wakati tukiwa na vyuo vikuu vichache kabisa hapa nchini kiwango cha ufaulu cha TUTORIAL ASSISTANT kilikuwa si chini ya GPA 3.8 sawa sawa kabisa na ASSISTANT LECTURER, na LECTURER.

Kutokana na ukosefu wa wanataaluma baadhi ya vyuo kama SUA na MZUMBE wakawa na kiwango chao cha GPA ya 3.5 wakiungana na baadhi ya taasisi nyingine za elimu ya juu chini ya NACTE. Hili nilifikiri ni sahihi kuhakikisha kazi wanazoweza watanzania wanajengewa mazingira ya kuzifanya Sidhani kama vyuo vilivyokuwa na wahadhiri wenye GPA za 3.5 walikuwa na ufanisi kidogo katika kazi kiasi cha kuamua KUWAACHA katika soko hili la ajira na kuwapa wageni ambao hata hizo GPA zao hatujui uhalisia.

HARMONIZATION SCHEME YA WANATAALUMA WA ELIMU YA JUU imeharibu kila kitu na inajenga mazingira ya TANZANIA kuwa soko la wahadhiri kutoka mataifa mengine bila kuwa na ulazima huo. Vyuo kama Nelson Mandela, UDOM, UDSM, KAMPALA UNIVERSITY wanaidadi kubwa ya wageni wanaohudumu kama visiting lecturers kwa post ambazo watanzania wangeweza kuzifanya kama huu ukiritimba utaondoka. Haiingii akilini nafikiri serikali inahitaji kuchunguza zaidi.
 
GPA za kwenye vyeti si kitu kabisa. Ni vilaza tu sema kwa sababu moja au nyingine walifaulu mitihani yao. GPA si kitu, muhimu ni uelewa wa vitu. Lijitu linakariri tu linafaulu baadae na lenyewe linakuja kukaririsha watu. Na ndio maana wavumbuzi wa vitu vipya sio maprofesa.
 
!
!
GPA za kwenye vyeti si kitu kabisa. Ni vilaza tu sema kwa sababu moja au nyingine walifaulu mitihani yao. GPA si kitu, muhimu ni uelewa wa vitu. Lijitu linakariri tu linafaulu baadae na lenyewe linakuja kukaririsha watu. Na ndio maana wavumbuzi wa vitu vipya sio maprofesa.

Acha wivu wewe, mbona mnampondaga JK kwamba GPA yake ilikuwa ndogo ndio maana nchi ilimshinda? Kama unaGPA ya 2.3 usijlinganishe na mwenye 4+
 
Wanaofaulu sana vyuo vikuu wamegawnyika katika makundi matatu;

1. Mafundi wa kuingia na vibomu 60%
2. Wanaorobe na kununua mitihani kwa mainstructor 30%
3. Wanaosongoka kabisa 10%

Wote hapo juu ukiangalia GPA zao ni Upper second to first.

Hili ni tatizo. Nawashauri TCU wacentralize employment za wahadhiri wote wa vyuo vikuu either kwa kuwapa mitihani baada ya kuajiliwa na vyuo vikuu au means yeyote ya kupima ueledi wa wa hawa watu.
 
Acha wivu wewe, mbona mnampondaga JK kwamba GPA yake ilikuwa ndogo ndio maana nchi ilimshinda? Kama unaGPA ya 2.3 usijlinganishe na mwenye 4+

!
!
John visomo utawatambua tu. Sasa mimi lini nimemponda JK, na kwa JK ni swala la perfomance yake na si hiyo GPA. Endelea kukariri mkuu na kusoma
 
Acha wivu wewe, mbona mnampondaga JK kwamba GPA yake ilikuwa ndogo ndio maana nchi ilimshinda? Kama unaGPA ya 2.3 usijlinganishe na mwenye 4+

!
!
Na kwa taarifa yako sasa mimi nina ka advanced diploma tu ila kwa hapa kazini kwangu hata mwenye doctorate hanifikii kwa kuandika miradi. Na wao sasa swaga zao ni zile za wewe hustahili kuwa hata mwanafunzi wangu. Ndio hao hao wenye GPA kubwa na hakuna lolote mafala tu.
 
Wakati tukiwa na vyuo vikuu vichache kabisa hapa nchini kiwango cha ufaulu cha TUTORIAL ASSISTANT kilikuwa si chini ya GPA 3.8 sawa sawa kabisa na ASSISTANT LECTURER, na LECTURER. Kutokana na ukosefu wa wanataaluma baadhi ya vyuo kama SUA na MZUMBE wakawa na kiwango chao cha GPA ya 3.5 wakiungana na baadhi ya taasisi nyingine za elimu ya juu chini ya NACTE.Hili nilifikiri ni sahihi kuhakikisha kazi wanazoweza watanzania wanajengewa mazingira ya kuzifanya Sidhani kama vyuo vilivyokuwa na wahadhiri wenye GPA za 3.5 walikuwa na ufanisi kidogo katika kazi kiasi cha kuamua KUWAACHA katika soko hili la ajira na kuwapa wageni ambao hata hizo GPA zao hatujui uhalisia. HARMONIZATION SCHEME YA WANATAALUMA WA ELIMU YA JUU imeharibu kila kitu na inajenga mazingira ya TANZANIA kuwa soko la wahadhiri kutoka mataifa mengine bila kuwa na ulazima huo. Vyuo kama Nelson Mandela, UDOM, UDSM, KAMPALA UNIVERSITY wanaidadi kubwa ya wageni wanaohudumu kama visiting lecturers kwa post ambazo watanzania wangeweza kuzifanya kama huu ukiritimba utaondoka. Haiingii akilini nafikiri serikali inahitaji kuchunguza zaidi.
Kwa ushauri wangu naona kigezo cha gpa kingebakia pale pale. Ila waongeze na kigezo cha angalu experience miaka 3. Maana imekuwa aibu kubwa. Tutor anafundisha kitu asichowahi kukiona. Wapo wengi tu nakutanana nao makazini pindi wanapokuja kutembelea vijana wao wakati wa practical na field work. Ni aibu aibu hakuna mfano. Inakuwaje mwalimu anaulizia ata simple issue.
 
Kwa ushauri wangu naona kigezo cha gpa kingebakia pale pale. Ila waongeze na kigezo cha angalu experience miaka 3. Maana imekuwa aibu kubwa. Tutor anafundisha kitu asichowahi kukiona. Wapo wengi tu nakutanana nao makazini pindi wanapokuja kutembelea vijana wao wakati wa practical na field work. Ni aibu aibu hakuna mfano. Inakuwaje mwalimu anaulizia ata simple issue.
Hiyo experience waipatie wapi sasa?
Labda useme wawekwe under management ya wenye experience kwa muda wa miaka mitatu.
 
Back
Top Bottom