Nani anasema hakuna correct score kwenye betting?

Nimetoka kupigwa kipigo cha mbwa mwizi leo leo, nimeweka stake ya kushiba kwa kuweka double chance hiyo unayosema wewe. Nimecheza game ya U17 ilikuwa Hungary na Belgium. Mpaka dk ya 80 Belgium anaongoza bao 1 bila, dk ya 90 Hungary wanarudisha goli mechi ikaisha hivyo watoto wakasubiri ET wakati huo jasho macho yamenitoka, nguo zimeloa jasho yani siamini mkeka wangu ndio basi umechanika. Kwa hiyo bet haina cha double chance, draw wala magoli. Kama ni siku ya kula utakula tu, kama ni siku ya kupigwa utapigwa tu mpaka akili zitakaa sawa!
Kuna mechi za double chance mkuu,kwa sasa mimi nimeacha kubeti maaana naona kama hakuna mechi,ligi zimefikia ukingoni
 
Kuna mechi za double chance mkuu,kwa sasa mimi nimeacha kubeti maaana naona kama hakuna mechi,ligi zimefikia ukingoni
Mkuu unakata tu tamaa mapema, game bado zipo nyingi. Nafikiri leo bahati haikuwa yangu, ukiangalia game yenyewe ilikuwa ipo wazi kabisa halafu huko ndio nyumbani mkuu, U17, U18, U19, U20 & U21 nacheza sana ni mara chache kama hivi ikitokea nimekula za uso.
 
Nimetoka kupigwa kipigo cha mbwa mwizi leo leo, nimeweka stake ya kushiba kwa kuweka double chance hiyo unayosema wewe. Nimecheza game ya U17 ilikuwa Hungary na Belgium. Mpaka dk ya 80 Belgium anaongoza bao 1 bila, dk ya 90 Hungary wanarudisha goli mechi ikaisha hivyo watoto wakasubiri ET wakati huo jasho macho yamenitoka, nguo zimeloa jasho yani siamini mkeka wangu ndio basi umechanika. Kwa hiyo bet haina cha double chance, draw wala magoli. Kama ni siku ya kula utakula tu, kama ni siku ya kupigwa utapigwa tu mpaka akili zitakaa sawa!
Kwa ujumla ni kwamba hakuna option rahisi kwenye betting
 
Hiii dunia ni ya ajabu sana, naisi nina nyota mbaya nitakufa masikini muda huu ningekuwa tajiri mkubwa sana, NANI ALISEMA HAKUNAGA FIXED MATCH? dah nlikuw na fixed match 3 zina jumla ya odds 2106. Nikapuuzia nikamuonesh mshikaj wang nayey ni fal 2 akajarb kwa 100 betpawa amekula lak2 lakn anajilaum kashapasua na glass kam nne et nimeambulia elf 50 nayenyew kanip yey, dah kun nyingine ilikuw peke ake odds 12 af mfukon nin buk 5 cha ajab nikaend kununua mo energy baad ya hap nikaend uwanjan kuchez mpir, nmetok tu nikafikia kweny simu kuangalia matokeo dah nlichokuta uwez amin sijaoga ad saivi najiuliz nina gund gan au nililala na bundi maan leo ingekuwa siku bora kwenye maisha yangu yote
Fixed Correct Score ZIPO.
Mimi nilipewa fixed ya semi final ya Europa 2017, mechi kati ya Man U Vs Celta Vigo na Olympique Lyon Vs Ajax. Hizi mechi zilitoa matokeo yaleyale aliyonipa jamaa. Shida ilikua tu hapo kabla alishanipa kama mara mbili hiv zikawa zimegoma, so hapa sikumuamini nkapuuzia.
 
Fixed Correct Score ZIPO.
Mimi nilipewa fixed ya semi final ya Europa 2017, mechi kati ya Man U Vs Celta Vigo na Olympique Lyon Vs Ajax. Hizi mechi zilitoa matokeo yaleyale aliyonipa jamaa. Shida ilikua tu hapo kabla alishanipa kama mara mbili hiv zikawa zimegoma, so hapa sikumuamini nkapuuzia.
Sasa hyo sio fixed..nae anabahatisha tu, game kubwa na michuono mikubwa game haziwi fixed acheni kufanywa mazuzu
 
Fixed Correct Score ZIPO.
Mimi nilipewa fixed ya semi final ya Europa 2017, mechi kati ya Man U Vs Celta Vigo na Olympique Lyon Vs Ajax. Hizi mechi zilitoa matokeo yaleyale aliyonipa jamaa. Shida ilikua tu hapo kabla alishanipa kama mara mbili hiv zikawa zimegoma, so hapa sikumuamini nkapuuzia.
Acha uongo UEFA ,EUROPA HAKUNAGA FIXED MATCH IYO ILIKUWA PREDICTION TU
 
Sasa hyo sio fixed..nae anabahatisha tu, game kubwa na michuono mikubwa game haziwi fixed acheni kufanywa mazuzu
Naungana mkono na ww mkuu sema ukibet sana kuna baadhi ya odds matokeo yanakuwa yanajirudia mfano katika mwa league zote odd ya 1.20 wa nyumbani alikuwa anafungwa alafu 1.75 ugenini ilikuwa inashinda hand cap nilifuatilia nikajua nikampiga muhindi siku hiyo feynoord alipigwa na odd ya 1.20 na Cjul wa Roman alitoa handcap niliweka team tatu nyingne siikumbuki lakn nilikula laki mkuu

Ushahidi.
Odd ya 1.20 home Barca alipigwa 4 Kwa 3 na real bets akiwa home
Odd ya 1.20 man city alipigwa na leicter city
Oddy 1.20 man city alipigwa kwenye group stage uefa na Lyon kama sijakosea
Hizi odds zilikuwa Kwa waliotumia premier betting kwenye makaratasi

Hakuna fixed kiivyo wanavyoamin ila ukicheza na odds muhindi ni mwepesi kama karatasi

Bila kusahau pia odds ya 1.16 mwanzoni mwanzoni mwa msimu ilikuwa inatoa matokeo ya draw handicap wanyumbani.anashinda tofauti ya goal moja nayo hiyo odds nilikuwa nikiikuta nacheka tu nayo imenipa sana pesa


Note:
Ikifika kipindi flan odds ikazoeleka matokeo yake yanachange now odds ya 1.20 inashinda vizuri Sana
Na odds ya 1.16 inatoa handcp vizuru Tu

#TUWEMAKINIHUUMCHEZOUNAHITAJIUMAKINIWAHALIYAJUUSANA
 
Nimetoka kupigwa kipigo cha mbwa mwizi leo leo, nimeweka stake ya kushiba kwa kuweka double chance hiyo unayosema wewe. Nimecheza game ya U17 ilikuwa Hungary na Belgium. Mpaka dk ya 80 Belgium anaongoza bao 1 bila, dk ya 90 Hungary wanarudisha goli mechi ikaisha hivyo watoto wakasubiri ET wakati huo jasho macho yamenitoka, nguo zimeloa jasho yani siamini mkeka wangu ndio basi umechanika. Kwa hiyo bet haina cha double chance, draw wala magoli. Kama ni siku ya kula utakula tu, kama ni siku ya kupigwa utapigwa tu mpaka akili zitakaa sawa!
Mkuu sijakuelewa uliweka double chance ya ashinde yeyote au
 
Sasa hyo sio fixed..nae anabahatisha tu, game kubwa na michuono mikubwa game haziwi fixed acheni kufanywa mazuzu
Hiyo unasema wewe, think outside the box. Juve ashawahi kushushwa daraja sababu ya kufix matches. Ikiwa wewe huwezi kuzipata sio kigezo kua hazipo.
 
Hiyo unasema wewe, think outside the box. Juve ashawahi kushushwa daraja sababu ya kufix matches. Ikiwa wewe huwezi kuzipata sio kigezo kua hazipo.
Kuna tofauti ya kufux match na kupanga matokeo...kupanga matokeo ndio ilimtokea juve,mfano unakuta washakua mabingwa wanacheza na timu ambayo ipo kweye hatari ya kushuka daraja wanapanga matokeo wapoteze mchezo,

Game fixing inafanyika kwenye ligi ndogo ndogo sana na kwa tahadhari kubwa sana,
 
Kuna tofauti ya kufux match na kupanga matokeo...kupanga matokeo ndio ilimtokea juve,mfano unakuta washakua mabingwa wanacheza na timu ambayo ipo kweye hatari ya kushuka daraja wanapanga matokeo wapoteze mchezo,

Game fixing inafanyika kwenye ligi ndogo ndogo sana na kwa tahadhari kubwa sana,
Dah,
Kupanga Matokeo ndio fixing of Matches ndugu yangu, tofauti ni maneno na lugha tu. Sema aina za fixing ndo ziko nyingi kama vile CS, Ht/FT, Red Cards, Total Goals Exactly, etc.
 
Dah,
Kupanga Matokeo ndio fixing of Matches ndugu yangu, tofauti ni maneno na lugha tu. Sema aina za fixing ndo ziko nyingi kama vile CS, Ht/FT, Red Cards, Total Goals Exactly, etc.
Kumbe unajua betting....

Watu wanajua betting mpaka correct score tuu
Hayo mengine hawajui....
Watu inabidi wabadili akili zao
 
Hakunaga fixed match kiivo ... Wengi wana buni tu... Anaweza kukupa wewe matokeo yatakuwa 2-1 akampa mwingine mechi hiyo hiyo itakuwa 2-0 na akampa mwingine 1-1.. Hapo namaanisha yaani anaweza kutoa matokeo 10 kwenye mechi moja.. Kila mtu akampa correct score tofauti na mwenzake... Na lazima kuna mmoja atashinda
Na akikupa wewe siku2 mfululiz zote zkatoa
 
Hakun siku ya kuliwa na siku ya kula. UMAKINI fanya betting kam kaz nyingne iheshim utaona matunda
Nimetoka kupigwa kipigo cha mbwa mwizi leo leo, nimeweka stake ya kushiba kwa kuweka double chance hiyo unayosema wewe. Nimecheza game ya U17 ilikuwa Hungary na Belgium. Mpaka dk ya 80 Belgium anaongoza bao 1 bila, dk ya 90 Hungary wanarudisha goli mechi ikaisha hivyo watoto wakasubiri ET wakati huo jasho macho yamenitoka, nguo zimeloa jasho yani siamini mkeka wangu ndio basi umechanika. Kwa hiyo bet haina cha double chance, draw wala magoli. Kama ni siku ya kula utakula tu, kama ni siku ya kupigwa utapigwa tu mpaka akili zitakaa sawa!
 
Back
Top Bottom