Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,989
Mkuu nipe pole 20k imenyooshwa kama pasi.
Mkuu nipe pole 20k imenyooshwa kama pasi.
Kuna mechi za double chance mkuu,kwa sasa mimi nimeacha kubeti maaana naona kama hakuna mechi,ligi zimefikia ukingoniNimetoka kupigwa kipigo cha mbwa mwizi leo leo, nimeweka stake ya kushiba kwa kuweka double chance hiyo unayosema wewe. Nimecheza game ya U17 ilikuwa Hungary na Belgium. Mpaka dk ya 80 Belgium anaongoza bao 1 bila, dk ya 90 Hungary wanarudisha goli mechi ikaisha hivyo watoto wakasubiri ET wakati huo jasho macho yamenitoka, nguo zimeloa jasho yani siamini mkeka wangu ndio basi umechanika. Kwa hiyo bet haina cha double chance, draw wala magoli. Kama ni siku ya kula utakula tu, kama ni siku ya kupigwa utapigwa tu mpaka akili zitakaa sawa!
Mkuu unakata tu tamaa mapema, game bado zipo nyingi. Nafikiri leo bahati haikuwa yangu, ukiangalia game yenyewe ilikuwa ipo wazi kabisa halafu huko ndio nyumbani mkuu, U17, U18, U19, U20 & U21 nacheza sana ni mara chache kama hivi ikitokea nimekula za uso.Kuna mechi za double chance mkuu,kwa sasa mimi nimeacha kubeti maaana naona kama hakuna mechi,ligi zimefikia ukingoni
Kwa ujumla ni kwamba hakuna option rahisi kwenye bettingNimetoka kupigwa kipigo cha mbwa mwizi leo leo, nimeweka stake ya kushiba kwa kuweka double chance hiyo unayosema wewe. Nimecheza game ya U17 ilikuwa Hungary na Belgium. Mpaka dk ya 80 Belgium anaongoza bao 1 bila, dk ya 90 Hungary wanarudisha goli mechi ikaisha hivyo watoto wakasubiri ET wakati huo jasho macho yamenitoka, nguo zimeloa jasho yani siamini mkeka wangu ndio basi umechanika. Kwa hiyo bet haina cha double chance, draw wala magoli. Kama ni siku ya kula utakula tu, kama ni siku ya kupigwa utapigwa tu mpaka akili zitakaa sawa!
Naam huo ndio ukweli. Kuna wengine watakushawishi uache football ucheze basketball, kumbe kote kote mambo ni yale yale.Kwa ujumla ni kwamba hakuna option rahisi kwenye betting
Fixed Correct Score ZIPO.Hiii dunia ni ya ajabu sana, naisi nina nyota mbaya nitakufa masikini muda huu ningekuwa tajiri mkubwa sana, NANI ALISEMA HAKUNAGA FIXED MATCH? dah nlikuw na fixed match 3 zina jumla ya odds 2106. Nikapuuzia nikamuonesh mshikaj wang nayey ni fal 2 akajarb kwa 100 betpawa amekula lak2 lakn anajilaum kashapasua na glass kam nne et nimeambulia elf 50 nayenyew kanip yey, dah kun nyingine ilikuw peke ake odds 12 af mfukon nin buk 5 cha ajab nikaend kununua mo energy baad ya hap nikaend uwanjan kuchez mpir, nmetok tu nikafikia kweny simu kuangalia matokeo dah nlichokuta uwez amin sijaoga ad saivi najiuliz nina gund gan au nililala na bundi maan leo ingekuwa siku bora kwenye maisha yangu yote
Sasa hyo sio fixed..nae anabahatisha tu, game kubwa na michuono mikubwa game haziwi fixed acheni kufanywa mazuzuFixed Correct Score ZIPO.
Mimi nilipewa fixed ya semi final ya Europa 2017, mechi kati ya Man U Vs Celta Vigo na Olympique Lyon Vs Ajax. Hizi mechi zilitoa matokeo yaleyale aliyonipa jamaa. Shida ilikua tu hapo kabla alishanipa kama mara mbili hiv zikawa zimegoma, so hapa sikumuamini nkapuuzia.
Acha uongo UEFA ,EUROPA HAKUNAGA FIXED MATCH IYO ILIKUWA PREDICTION TUFixed Correct Score ZIPO.
Mimi nilipewa fixed ya semi final ya Europa 2017, mechi kati ya Man U Vs Celta Vigo na Olympique Lyon Vs Ajax. Hizi mechi zilitoa matokeo yaleyale aliyonipa jamaa. Shida ilikua tu hapo kabla alishanipa kama mara mbili hiv zikawa zimegoma, so hapa sikumuamini nkapuuzia.
Naungana mkono na ww mkuu sema ukibet sana kuna baadhi ya odds matokeo yanakuwa yanajirudia mfano katika mwa league zote odd ya 1.20 wa nyumbani alikuwa anafungwa alafu 1.75 ugenini ilikuwa inashinda hand cap nilifuatilia nikajua nikampiga muhindi siku hiyo feynoord alipigwa na odd ya 1.20 na Cjul wa Roman alitoa handcap niliweka team tatu nyingne siikumbuki lakn nilikula laki mkuuSasa hyo sio fixed..nae anabahatisha tu, game kubwa na michuono mikubwa game haziwi fixed acheni kufanywa mazuzu
Mkuu sijakuelewa uliweka double chance ya ashinde yeyote auNimetoka kupigwa kipigo cha mbwa mwizi leo leo, nimeweka stake ya kushiba kwa kuweka double chance hiyo unayosema wewe. Nimecheza game ya U17 ilikuwa Hungary na Belgium. Mpaka dk ya 80 Belgium anaongoza bao 1 bila, dk ya 90 Hungary wanarudisha goli mechi ikaisha hivyo watoto wakasubiri ET wakati huo jasho macho yamenitoka, nguo zimeloa jasho yani siamini mkeka wangu ndio basi umechanika. Kwa hiyo bet haina cha double chance, draw wala magoli. Kama ni siku ya kula utakula tu, kama ni siku ya kupigwa utapigwa tu mpaka akili zitakaa sawa!
Hiyo unasema wewe, think outside the box. Juve ashawahi kushushwa daraja sababu ya kufix matches. Ikiwa wewe huwezi kuzipata sio kigezo kua hazipo.Sasa hyo sio fixed..nae anabahatisha tu, game kubwa na michuono mikubwa game haziwi fixed acheni kufanywa mazuzu
Kuna tofauti ya kufux match na kupanga matokeo...kupanga matokeo ndio ilimtokea juve,mfano unakuta washakua mabingwa wanacheza na timu ambayo ipo kweye hatari ya kushuka daraja wanapanga matokeo wapoteze mchezo,Hiyo unasema wewe, think outside the box. Juve ashawahi kushushwa daraja sababu ya kufix matches. Ikiwa wewe huwezi kuzipata sio kigezo kua hazipo.
Dah,Kuna tofauti ya kufux match na kupanga matokeo...kupanga matokeo ndio ilimtokea juve,mfano unakuta washakua mabingwa wanacheza na timu ambayo ipo kweye hatari ya kushuka daraja wanapanga matokeo wapoteze mchezo,
Game fixing inafanyika kwenye ligi ndogo ndogo sana na kwa tahadhari kubwa sana,
Ndio maana yake mkuu, Double Chance Home or Away, yeyote ashinde.Mkuu sijakuelewa uliweka double chance ya ashinde yeyote au
Kumbe unajua betting....Dah,
Kupanga Matokeo ndio fixing of Matches ndugu yangu, tofauti ni maneno na lugha tu. Sema aina za fixing ndo ziko nyingi kama vile CS, Ht/FT, Red Cards, Total Goals Exactly, etc.
Na akikupa wewe siku2 mfululiz zote zkatoaHakunaga fixed match kiivo ... Wengi wana buni tu... Anaweza kukupa wewe matokeo yatakuwa 2-1 akampa mwingine mechi hiyo hiyo itakuwa 2-0 na akampa mwingine 1-1.. Hapo namaanisha yaani anaweza kutoa matokeo 10 kwenye mechi moja.. Kila mtu akampa correct score tofauti na mwenzake... Na lazima kuna mmoja atashinda
Unatumia app gani kupata iyo correct score....isije kuwa unatafuta wateja hapa
Nimetoka kupigwa kipigo cha mbwa mwizi leo leo, nimeweka stake ya kushiba kwa kuweka double chance hiyo unayosema wewe. Nimecheza game ya U17 ilikuwa Hungary na Belgium. Mpaka dk ya 80 Belgium anaongoza bao 1 bila, dk ya 90 Hungary wanarudisha goli mechi ikaisha hivyo watoto wakasubiri ET wakati huo jasho macho yamenitoka, nguo zimeloa jasho yani siamini mkeka wangu ndio basi umechanika. Kwa hiyo bet haina cha double chance, draw wala magoli. Kama ni siku ya kula utakula tu, kama ni siku ya kupigwa utapigwa tu mpaka akili zitakaa sawa!
Kun lig nying san zmeanzaKuna mechi za double chance mkuu,kwa sasa mimi nimeacha kubeti maaana naona kama hakuna mechi,ligi zimefikia ukingoni
Kwa ujumla ni kwamba hakuna option rahisi kwenye betting