Vivan cappatinho
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 269
- 230
- Thread starter
- #41
Basket nafuu mkuuNaam huo ndio ukweli. Kuna wengine watakushawishi uache football ucheze basketball, kumbe kote kote mambo ni yale yale.
Basket nafuu mkuuNaam huo ndio ukweli. Kuna wengine watakushawishi uache football ucheze basketball, kumbe kote kote mambo ni yale yale.
Kwel na me ndio nlichofailFixed Correct Score ZIPO.
Mimi nilipewa fixed ya semi final ya Europa 2017, mechi kati ya Man U Vs Celta Vigo na Olympique Lyon Vs Ajax. Hizi mechi zilitoa matokeo yaleyale aliyonipa jamaa. Shida ilikua tu hapo kabla alishanipa kama mara mbili hiv zikawa zimegoma, so hapa sikumuamini nkapuuzia.
Mkuu ujaona mengi uefa na ukubwa wake mtu anakutumia mkeka anakwambia mpe mfalan red card, utapuuzia njoo badae uoneSasa hyo sio fixed..nae anabahatisha tu, game kubwa na michuono mikubwa game haziwi fixed acheni kufanywa mazuzu
Sio kwel. Kuna jamaa alinipa fixed match ya arsenal na napoli akanambia baad ya match kam natak kuendelea nae nimtumie dola 500 me nikajarb ikatoa ila dola 500 ckuwaa nazo ivyo akunitumia ten email na me nikimtumia anijib ad leoAcha uongo UEFA ,EUROPA HAKUNAGA FIXED MATCH IYO ILIKUWA PREDICTION TU
mkuu kama mtu hajui fixed apa ataendelea kukubishiaDah,
Kupanga Matokeo ndio fixing of Matches ndugu yangu, tofauti ni maneno na lugha tu. Sema aina za fixing ndo ziko nyingi kama vile CS, Ht/FT, Red Cards, Total Goals Exactly, etc.
Watu awachambui team kun team unakut kweny league ya 2 inachez na 14 alaf wa pil kapew point 5 na wa 14 kapew 1.70 wew utamfat mweny 1.70 umpe double chance ije 1.16 kitakacho kukuta utamuadisia kla m2 tafuta league ya bolivia kun uo mchez mchaf san mal wamefungan 9 kwa 3Naungana mkono na ww mkuu sema ukibet sana kuna baadhi ya odds matokeo yanakuwa yanajirudia mfano katika mwa league zote odd ya 1.20 wa nyumbani alikuwa anafungwa alafu 1.75 ugenini ilikuwa inashinda hand cap nilifuatilia nikajua nikampiga muhindi siku hiyo feynoord alipigwa na odd ya 1.20 na Cjul wa Roman alitoa handcap niliweka team tatu nyingne siikumbuki lakn nilikula laki mkuu
Ushahidi.
Odd ya 1.20 home Barca alipigwa 4 Kwa 3 na real bets akiwa home
Odd ya 1.20 man city alipigwa na leicter city
Oddy 1.20 man city alipigwa kwenye group stage uefa na Lyon kama sijakosea
Hizi odds zilikuwa Kwa waliotumia premier betting kwenye makaratasi
Hakuna fixed kiivyo wanavyoamin ila ukicheza na odds muhindi ni mwepesi kama karatasi
Bila kusahau pia odds ya 1.16 mwanzoni mwanzoni mwa msimu ilikuwa inatoa matokeo ya draw handicap wanyumbani.anashinda tofauti ya goal moja nayo hiyo odds nilikuwa nikiikuta nacheka tu nayo imenipa sana pesa
Note:
Ikifika kipindi flan odds ikazoeleka matokeo yake yanachange now odds ya 1.20 inashinda vizuri Sana
Na odds ya 1.16 inatoa handcp vizuru Tu
#TUWEMAKINIHUUMCHEZOUNAHITAJIUMAKINIWAHALIYAJUUSANA
Kuna tofauti ya kufux match na kupanga matokeo...kupanga matokeo ndio ilimtokea juve,mfano unakuta washakua mabingwa wanacheza na timu ambayo ipo kweye hatari ya kushuka daraja wanapanga matokeo wapoteze mchezo,
Game fixing inafanyika kwenye ligi ndogo ndogo sana na kwa tahadhari kubwa sana,
Semi final ya europe iwe fixed! Bro acha utani ase, unajua timu ikiingia tu final inapata hela kiasi gani. Hata mimi naamini fixed zipo ila ni kwa ligi ndogo ndogo sana na matokeo fulani yanakuwa hayana madhara makubwa kwa timu fulani.Fixed Correct Score ZIPO.
Mimi nilipewa fixed ya semi final ya Europa 2017, mechi kati ya Man U Vs Celta Vigo na Olympique Lyon Vs Ajax. Hizi mechi zilitoa matokeo yaleyale aliyonipa jamaa. Shida ilikua tu hapo kabla alishanipa kama mara mbili hiv zikawa zimegoma, so hapa sikumuamini nkapuuzia.
Kinachofanyika hapo anakuwa na wateja wengi, kila mtu anamtumia tofauti tofauti ie 2-0, 3-2, 1-4 so ikitokea aliyekutumia wewe ndio imetiki utamwamini na utamtumia pesa ili uendelee nae na ataendelea kukutumia na utaona utakavyoanza kula vipigo ukimlalamikia ana kublockSio Sio kwel. Kuna jamaa alinipa fixed match ya arsenal na napoli akanambia baad ya match kam natak kuendelea nae nimtumie dola 500 me nikajarb ikatoa ila dola 500 ckuwaa nazo ivyo akunitumia ten email na me nikimtumia anijib ad leoView attachment 1099893
Unataka watu wakucheke mzee, umakini upi unaozungumzia? Unataka kusema mtu anayeweka stake ya 10k, 20k, 30k na kuendelea huyu amekosa umakini?Hakun siku ya kuliwa na siku ya kula. UMAKINI fanya betting kam kaz nyingne iheshim utaona matunda
Mimi siongei utani, wala nikidanganya hapa haitasaidia pia. Na wala sio biashara yangu niseme nadanganya ili kuvutia wateja. Nilipewa Correct Scores za matches mbili za semi final Europa na zikatoa zote. Kama jamaa alibunia ni shauri zake mwenyewe, ila kwangu zote mbili zilitoa.Semi final ya europe iwe fixed! Bro acha utani ase, unajua timu ikiingia tu final inapata hela kiasi gani. Hata mimi naamini fixed zipo ila ni kwa ligi ndogo ndogo sana na matokeo fulani yanakuwa hayana madhara makubwa kwa timu fulani.
Sio timu inahitaji point 2 isishuke daraja, alafu hiyo timu ifix eti ifungwe na ishuke daraja
Huyu jamaa bana tunabet nae kila siku na ana group kabisa anauza odds lakini nashangaa hajui kua kupanga matokeo ndo huleta fixed matches, sijadhania kabisa aisee.Hahhahahah ulicho kisem unakielew kwel?