Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,957
- 8,005
yeah imekuwa haieleweki kwa wengi kuwa asante imo ama haimo baada ya kushereheshana .mara nyigi huwa ni kimyakimya watu hunyamaaaa kimya stori kukata ama mdada atatoa asante nayo sijui inajibiwaje katika Kiswahili sahihi.Vitabu vyote nilivosoma sijasoma mkaka katoa asente