HIBISCUS 80
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 1,056
- 1,212
Nawapongeza kwa kubanaNyerere/kristo alibana
Mwinyi/muslim aliachia
Mkapa/kristo alibana, then aliachia kiasi chake
Kikwete/muslim aliachia
Magu/kristo amebana.
Hapo ndio utajuwa wakina nani wana imani zaidi. Ni hayo tu mkuu.
Haya mawazo ya choo cha kike.2015: Tunataka Rais mchapakazi na mkali hata akiwa mwizi poa tuuu.
2020: Tunataka Rais ambaye sio mwizi hata akiwa sio mchapakazi poa tuu.
2025: Tunataka katiba ambayo itaondoa cheo cha Rais.
Swali hili jibu lake simple tu...HAKUNATanzania tunaijua na Watanzania Tunawajua.
Urais tunaujua na sifa za kugombea Urais tunazijua.
Rais Bora tunamjua na sifa za Rais Bora tunazijua.
Je, kwa Aina ya utawala tulionao na kwa nia ya kuyaendeleza Yale mazuri yaliyotendwa na Rais tuliyenaye, Nani anapaswa kumrithi 2020 au 2025?
Next atakuwa RAISI MUISLAMU. Waislamu wana imani sana
Ukweli ndio huo baada ya JPM ni muislam ili maaskofu waanze kutoa warakaHatuchagui mtu wa mtu wa kutupeleka peponi kwa hiyo achana na mawazo ya udini. Hata hivyo tunaye makamu wa rais na huyu bado anayo miaka saba.
LISU nimkweli na anahuruma nawatu hanatamaa anaichukia dhulumaTanzania tunaijua na Watanzania Tunawajua.
Urais tunaujua na sifa za kugombea Urais tunazijua.
Rais Bora tunamjua na sifa za Rais Bora tunazijua.
Je, kwa Aina ya utawala tulionao na kwa nia ya kuyaendeleza Yale mazuri yaliyotendwa na Rais tuliyenaye, Nani anapaswa kumrithi 2020 au 2025?
Rudi kitandani uote jina lingine halafu awe mwanaume kisha awe mwislamu hapo utapata ubashiri wakoFatuma Karume...
Tundu A LissuTanzania tunaijua na Watanzania Tunawajua.
Urais tunaujua na sifa za kugombea Urais tunazijua.
Rais Bora tunamjua na sifa za Rais Bora tunazijua.
Je, kwa Aina ya utawala tulionao na kwa nia ya kuyaendeleza Yale mazuri yaliyotendwa na Rais tuliyenaye, Nani anapaswa kumrithi 2020 au 2025?
Tunatafuta Rais sio sheikh Mkuu! Msije mkatuletea kama yule wa ruksa ruksa katuharibia Nchi sana
ππ"Hakuna" huyo ni hadi mauti yatakapo mkuta..
Mungu ampe umri mrefu raisi wetu kama miradi ya miaka 30 kaifanya kwa miaka mitatu basi atawale milele kama sultan suleyman kan
Rais awe wa maisha maana akikabidhi mwingine ataturudisha huko alikotutoa.
ππRais wa maisha ndio wa aina gani ?