Nani Anapakumbuka Hapa?

Nani Anapakumbuka Hapa?

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2007
Posts
23,265
Reaction score
17,134
Nilikuwepo jirani ile August 7, 1998........sitasahau

gal-bio-bin-laden-15-jpg.jpg
 
Hapo ilikuwa ni just few meters kutoka ofisi yangu ya zamani, Kinondoni Road. Some bomb particles zilirushwa mpaka ofisini kwetu na vioo vya jengo letu vyote vilipukutika!!! Usicheze na hiyo kitu inaitwa Bomu!!!!

Tiba
 
Nilikuwa kwenye mataa ya hapo Kenyatta...mkoko wangu ukapaajuu kutua chini hamna hata kioo kimoja! Miwani ndio iliniokoa kupofuka
 
....Ni Tendo la kusikitisha lisiloweza kusahaulika ... aslan
 
Siku hiyo nilikuwa Sinza kwa Remmy, Dar es Salaam, nikielekea kazini. Yaani kishindo cha mlipuko kilikuwa ni balaa. Sikujua nini kimetokea mpaka nilipofika kazini ndipo nilipofahamu kuwa Osama ametutumia salamu.
 
Nilikuwa naandika insha ya haki za binadamu kukumbuka miaka 50 ya Human Rights (UNO)
 
Nilikuwa na mke wa mtu nilishituka nikazani ndio nimefumaniwa!!!!!!!!!!!
 
tumemiss tukio kama hili siku nyingi sasa
 
Sisahau siku hiyo nilikuwa kwa Mama PS pub kama saa nne nilisikia kishindo mara nikaona vyuma vikubwa vinatoka angani nikasema labda ndege imedondoka nini kuchungulia naona mshikemshike barabarani gofu,ultmate nikajua ubalozini kimenuka mara jamaa anasema fungulieni itv cnn wanaonyesha na kenya pia kimenuka! Osama alikuwa noma!
 
Bongo ni Zaid ya burdaan, Kila mtu anajifanya alikuwa karibu na eneo la Tukio, naskia askari wa kitasha walikuwa wanawahi Maiti za kizungu na kuacha majeruhi weusi!
 
Back
Top Bottom