darubin ya mbao
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 2,187
- 4,552
Duu uzi mgumu huu.
Wanatumikia matumbo yao hapa utawalaumu tuPOTI unazingua ujue?
Huyo mwanaharakati huru umepata bahati ya kukutana naye na ukamwacha aende?
Poti umezingua sana mwanangu!
Hiyo kitimoto unaishikisha adabu, uchura chura hautoshi, na hao waseng# wenzake wanaojikuta untouchable.
Maana hii idara yetu nyeti inachafuliwa na wapuuzi wachache wanaotumika na wanasiasa waseng#.
Alitaifishwa kwani??Pamoja na kupekuliwa na kutaifisha baadhi ya pesa zake za kifisadi bado tu anafanya yale yale basi Jiwe alifanya senema na bado anamfadhiri jamaa kufanya uhalifu.
Tukio limetaja muda, mahali na wahusika. We kweli poyoyoTaarifa imekaa kiumbea sana
Mtaje huyo mwanaharakati.
Huyo huyoYule muuza vifungashio vya vitumbua
Mtaje huyo mwanaharakati.
Pamoja na kupekuliwa na kutaifisha baadhi ya pesa zake za kifisadi bado tu anafanya yale yale basi Jiwe alifanya senema na bado anamfadhiri jamaa kufanya uhalifu.
PorojoJana (Juni mosi, 2020) majira ya saa 8 Mchana, gari aina ta Prado ya rangi ya kijivu T304 DHK likiwa na watu 6 ndani yake lilizuiliwa kwenye ‘Barrier’ ya mjini Lindi karibu na Shule ya Sekondari ya Lindi baada ya Polisi kupata ripoti kuwa gari hilo lilikuwa linakwenda kasi na kukataa kusimama kwenye vizuizi vyote vya Traffic.
Gari hilo lilizuiwa na Lorry lililokuwa na askari polisi wenye silaha. Wakaambiwa washuke wakiwa na mikono juu.
Wakashuka watu 6 wakachangamshwa kidogo kipolisi, wakarushwa kichura na kupelekwa pembeni. Watu hawa walikutwa na bastola 3. Wakajitambulisha wakiwa na Kiongozi wao ambaye ni ‘Mwanaharakati Huru’ akifuatana na vijana 4 kutoka idara nyeti, pamoja na dereva wao.
Walipoulizwa walikuwa wanakwenda wapi, waliwaambia maafisa wa Polisi kuwa walikuwa wanakwenda Ruangwa kwa Waziri Mkuu. Walipoambiwa kuwa mbona hayupo, wakadai wana kazi wanakwenda kufanya.
Nzi wetu aimefuatilia nyendo zao na kubaini hata ofisi ya PM haina taarifa zao!
Swali langu: Mwanaharakati huyu huru anatumiwa na nani? Nani anamlea? Tunalipeka wapi Taifa?
Tukio limetaja muda, mahali na wahusika. We kweli poyoyo
Kwao pesa mbeleHao ndio waliomshambulia makamu lazima.
Cyprian Musiba aka MulagoMtaje huyo mwanaharakati.