Kwa kwa kww.. Tangu lini mtu mweusi akachagua vipaumbele vyenye tija?? acha wafanye wajiskiavyo
Ndege zenyewe hizo hizo kila mwaka
Lazima hili tuliwekn kwenye ilani yetu BAVICHA.Tukiingia ikulu hakuna kurusha ndege ili kubana matumizi
Si mlipa kodi huyo kula kulala hajui kituKodi yako ndio inayolipia gharama zote za mafuta ya ndege wiki nzima! Hii ndo nchi yetu, Tanzania oyeee!
Kipele kimeanza kukuwasha
Sasa rangi hapo imeingiaje ,akili za kuazima shida sanaViongozi weusi wanaangalia fantasy zao na si vipaumbele vya taifa
Mimi kwetu Matombo na nimerejea hivi karibuni kutoka katika ziara ya kutembelea kambi ya wakimbizi ya Kakuma kule Kenya ila Matombo ndio kwetuHuyu mleta uzi inaonekana sio mtz kulingana jina lake ,ila aelewa hiyo sehemu ya sherehe ,pia urudi kwenu ukaendeleze ubaguzi tunaoshuhudia SA
Kwani Helicopter sio ndege.Kweli nyani haoni VUTULE ee ala kundule.Lazima hili tuliwekn kwenye ilani yetu BAVICHA.Tukiingia ikulu hakuna kurusha ndege ili kubana matumizi