Mzee Mohamed, kabla hatujapata ukweli halisi juu ya nchi kuaminishwa historia ambayo sio, tunatakiwa tujue ukweli. Je, hawa ndugu zetu ambao wengi walijitolea kupigania uhuru huku wakiwa na imani ya Kiislamu walipigania uhuru kwa misingi ya dini?
Mzee Mohamed pamoja kuwa unadai tumekaririshwa historia ambayo sio, lakini watanzania mpaka leo wanatambua ndio historia sahihi