Nani anaipenda serikali yake kiasi hiki?

Nani anaipenda serikali yake kiasi hiki?

Papillon 1906

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
201
Reaction score
681
Mwaka 2015, stori kubwa huko Columbia ilikuwa ni mkulima asie na makuu alie gundua kiasi cha pesa dola za kimarekani milioni 600 zikiwa zimefukiwa katika shamba analo miliki.

Inadaiwa kuwa hizo pesa zilikuwa ni miongoni mwa sehemu ndogo ya utajiri wa Pablo Escobar ambae alikuwa mfanyabiashara mkubwa wa madawa ya kulevya.

Katika hali isiyo ya kawaida mkulima huyo aliamua kuzikabidhisha izo pesa kwa jeshi la polisi nchini humo na kubaki katika lindi la umaskini.

Ikumbukwe pablo Escobar alikuwa na ukwasi wa kufa mtu na pesa nyingi alizificha maeneo mbalimbali katika nchi ya Colombia ikiwemo kwenye milima na nyumba alizojenga mafichoni.

Kimsingi mungu akitaka kukubaria akupigii simu wala njia gani ya kukubariki, ukibebwa bebeka basi.

Pia haukupatikana ushahidi wa moja kwa moja kwamba pesa hizo ni za Pablito.


historyphotographed_20250722_p_3682491759539526398_2_3682491546980815423.jpg

historyphotographed_20250722_p_3682491759539526398_3_3682491599417822568.jpg
 
tatizo ya hela nyeupe ni tracking,hizo unakuta zimeshatolewa ktk mzunguko tayar au zimeshaorodheshwa namba kwamba ziliondoka kwa mmiliki halali kihuni,popote utakapozitoa ubadili au utumie utaanza kufuatiliwa.
 
Mwwmba hakua mzalendo ila alikua smart mno najua hizo mambo zinavyoenda huo mpunga ulikua wa moto sana angeish kama digidigi maisha yake yote
 
Hakuna wema hapo ,jamaa alijua lazima akianza kuzitumbua wangemdaka tu ,hapo ilibidi avuke border chap aje awapigishe wabongo kwenye tuburea de change twao
 
Je, pesa hizo zilikuwa bado zinatumika!? Mfano saa hizi upate bilioni 1 ya elfu 10,10 za blue, haina faida, huweI tumia,
kama zingekuwa ni zinatumiaka, Mie nisingeonesha, ni bora wanitrack wanisake, lakini nizitumbue

Get rich or die trying.
 
Back
Top Bottom