Nani anaifadhili CHADEMA?

Mi najiuliza ni vyama vyote vimeruhusiwa kufanya siasa au ni CHADEMA tu? Maana sioni wengine wakichangamkia fulsa
 
CDM ni taasisi kubwa. Acha propaganda.
 
CDM ni taasisi kubwa. Acha propaganda.
Hilo halina ubishi na tumelisema toka ile 2010, tatizo ni hawajajipanga. https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-imechokwa-chadema-haijajipanga.87532/
P
 
Hata wewe ni mfadhili,Samia,majaliwa wote ni wafadhili CDM indirectly
 
Propaganda speculation aiming on damaging
 
Naona CHADEMA bila ruzuku bado kinafedha za kuandaa mikutano ya adhara, ufafhili wao upo chini ya nani? Mbona vyanzo vya mapato havipo wazi?
Watanzania wa kawaida tu ndio wafadhili wakubwa wa CHADEMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…