Wana Jamvi, Naomba ushauri wenu. Nani anafaa kuwa raisi wa 2015 kati ya hawa wafuatao??
CDM: Dr. Slaa, Mbowe na Zitto?
CCM: Lowassa, Magufuli, Membe na Dr. Asha Rose Migiro au Mkapa?
Tafadhali toa mawazo yako kwa mpangilio wa nani anafaa na nani anafuata kwa kila kundi
CDM: Dr. Slaa, Mbowe na Zitto?
CCM: Lowassa, Magufuli, Membe na Dr. Asha Rose Migiro au Mkapa?
Tafadhali toa mawazo yako kwa mpangilio wa nani anafaa na nani anafuata kwa kila kundi