Nani anafaa kuwa Kaka wa Taifa?

Nani anafaa kuwa Kaka wa Taifa?

Mkuu,

Sogelea basi taifa Benjamin Mkapa basi. Leo tunakiwasga hapa na tukishinda tunabibe hadi asubuhi.

Nataka nibambie hiko kiuno nyingi/dondora.
Unaenda kushangilia taifa 🌟 au kubambia?
 
Nilishatoa mada kama hii miaka mitatu nyuma jamaa mmoja akaniambia brother umekula kweli kabla ya kunywa?. Ilibidi ni cheke sana
 
Back
Top Bottom