Nani anadhani Nchimbi ndo tumaini lililobaki?

Nani anadhani Nchimbi ndo tumaini lililobaki?

Upekuzi101

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
477
Reaction score
1,017
Kwenye nchi ni lazima kuwe na watu ambao hata sisi tukipotoka wote bado wao watabaki kuwa tumaini letu kwa mawazo, ushauri, miongozo na kufanya maamuzi magumu kwa maslahi ya taifa. Maslahi ya taifa siku zote hushinda maslahi binafsi hivyo hivyo tunatambua kipi ni sahihi kwa kufanyika kwa sasa.

Kuna watu wamekaa na kujiaminisha kuwa wakimleta NCHIMBI eti anaweza kubadili hisia na mawazo kuhusu CCM na kukamata hisia za wananchi ila kiukweli watu Wana Imani na Makonda au hata Polepole kuliko huyu balozi ambaye kila mtu anamjua vizuri tangu zamani kwaiyo kwa karata hii you are doomed to fail, fikirieni tena.

Kosa lingine ni kuwa CCM inaenda kurudisha wazee, waliokwisha kutumikia hizi nafasi na wengine walishindwa hata kuleta maendeleo kwenye majimbo yao ila bila aibu na kwakua CCM ni shamba la bibi hata wale nyani wa zamani wanataka kurudi tena kula mahindi kwakua wanajua bibi kazeeka zaidi hawezi hata kurusha jiwe. Hii ni dharau kwa chama na wajumbe mkiwarudisha hawa ng'ombe wazee wenye uchu na madaraka mtafeli vibaya.

CCM cha maana mtakachofanya ni kuhakikisha damu changa ndo inapitishwa at least watakuwa na ushawishi kwa Gen Z hata kama hawatapigiwa kura za ushindi na wananchi lakini mtakuwa mmetengeneza muonekano mpya wa chama kwa kupumzisha wazee na vijana kushika hatamu. Wazee mmetutoa mbali ila hapa tulipofika inatosha mkitaka kuendelea hiyo ni tamaa na mtaongeza mpasuko mkubwa ndani ya chama ukizingatia hata ndani ya CCM vijana ndo wengi zaidi na ndo walitaka kura zipigwe kumchagua mgombea urais baada ya Kikwete kumpitisha mama peke yake bila makubaliano na wanachama wote.

Mzee wetu Kikwete naye ni Mzee wa mjini tu, mpaka leo anapambaniaga maslahi binafsi tu. Wazee wenye hekima tunawaona wakisimamia ukweli ni Warioba na Mzee Butiku. Rais mstaafu Hana cha kupoteza hasa anapoamua kuliponya taifa kwa ushauri, na msaada pale unapohitajika ila kuwa chawa, kushindwa kusema ukweli, na kujikosha ni fedheha kwa nchi kwa familia na taifa kwa ujumla ukizingatia JK analipwa, mwanae analipwa na mke wake analipwa.

Ifike mahali wazee warudiwe na hekima zao watoe muongozo kwa vijana na vijana watumie nguvu zao kuliongoza taifa ila wazee waking'ang'ania madaraka basi vijana wapo huru kuwatoa kwa nguvu hata kuwapumzisha kabla ya wakati
 
Shida sana, Nchimbi hawezi kuwa tumaini la kuwa Rais, ni tumaini la ccm baada ya kushindwa kuandaa viongozi.

Nchimbi anatufaa wa Tanzania, kwa sababu kama akiteuliwa, atatumiwa na Mungu kuleta makundi mengi ccm katika uchaguzi.

Matokeo yeyote ya Makundi ndani ya ccm, matokea yake kwa ufupi sana ni kumuandali Lisu nafasi nzuri ya kuwa Rais.
 
Kwenye nchi ni lazima kuwe na watu ambao hata sisi tukipotoka wote bado wao watabaki kuwa tumaini letu kwa mawazo, ushauri, miongozo na kufanya maamuzi magumu kwa maslahi ya taifa. Maslahi ya taifa siku zote hushinda maslahi binafsi hivyo hivyo tunatambua kipi ni sahihi kwa kufanyika kwa sasa.

Kuna watu wamekaa na kujiaminisha kuwa wakimleta NCHIMBI eti anaweza kubadili hisia na mawazo kuhusu CCM na kukamata hisia za wananchi ila kiukweli watu Wana Imani na Makonda au hata Polepole kuliko huyu balozi ambaye kila mtu anamjua vizuri tangu zamani kwaiyo kwa karata hii you are doomed to fail, fikirieni tena.

Kosa lingine ni kuwa CCM inaenda kurudisha wazee, waliokwisha kutumikia hizi nafasi na wengine walishindwa hata kuleta maendeleo kwenye majimbo yao ila bila aibu na kwakua CCM ni shamba la bibi hata wale nyani wa zamani wanataka kurudi tena kula mahindi kwakua wanajua bibi kazeeka zaidi hawezi hata kurusha jiwe. Hii ni dharau kwa chama na wajumbe mkiwarudisha hawa ng'ombe wazee wenye uchu na madaraka mtafeli vibaya.

CCM cha maana mtakachofanya ni kuhakikisha damu changa ndo inapitishwa at least watakuwa na ushawishi kwa Gen Z hata kama hawatapigiwa kura za ushindi na wananchi lakini mtakuwa mmetengeneza muonekano mpya wa chama kwa kupumzisha wazee na vijana kushika hatamu. Wazee mmetutoa mbali ila hapa tulipofika inatosha mkitaka kuendelea hiyo ni tamaa na mtaongeza mpasuko mkubwa ndani ya chama ukizingatia hata ndani ya CCM vijana ndo wengi zaidi na ndo walitaka kura zipigwe kumchagua mgombea urais baada ya Kikwete kumpitisha mama peke yake bila makubaliano na wanachama wote.

Mzee wetu Kikwete naye ni Mzee wa mjini tu, mpaka leo anapambaniaga maslahi binafsi tu. Wazee wenye hekima tunawaona wakisimamia ukweli ni Warioba na Mzee Butiku. Rais mstaafu Hana cha kupoteza hasa anapoamua kuliponya taifa kwa ushauri, na msaada pale unapohitajika ila kuwa chawa, kushindwa kusema ukweli, na kujikosha ni fedheha kwa nchi kwa familia na taifa kwa ujumla ukizingatia JK analipwa, mwanae analipwa na mke wake analipwa.

Ifike mahali wazee warudiwe na hekima zao watoe muongozo kwa vijana na vijana watumie nguvu zao kuliongoza taifa ila wazee waking'ang'ania madaraka basi vijana wapo huru kuwatoa kwa nguvu hata kuwapumzisha kabla ya wakati
Nimeishia kusoma pale kuwa wananchi wana imani na Bashite. Labda hao wananchi ni watu kama wewe na familia yako
 
Mnajidanganya tu hakuna Chama Cha upinzani chenye uwezo wa kuiondoa CCM madarakani kwa Sasa ..

Ifike mahali mmkubali ukweli huo.
Migogoro ndani ya Chama ni kawaida na umalizika vizuri tu na wakati mwingine ni nyingi mnaota ndoto zenu mnakuja kuziandima hapa hakuna alietegemea nchimbi kuwa mgombea mwenza kinawauma Sana Tena Sana..

Ifike hatua mkubali tu imeshatokea ..
 
Kuwapa nafasi watu ambao hawajajiandaa kushika nafasi husika ndo kumetufikisha hapa.
Makonda kajiandaa kuwa mbunge...kuwa namba moja, bado.
So, is Polepole.
January yeye hapana.
Huko CCM mwenye nafuu ni nani?
 
Kwenye nchi ni lazima kuwe na watu ambao hata sisi tukipotoka wote bado wao watabaki kuwa tumaini letu kwa mawazo, ushauri, miongozo na kufanya maamuzi magumu kwa maslahi ya taifa. Maslahi ya taifa siku zote hushinda maslahi binafsi hivyo hivyo tunatambua kipi ni sahihi kwa kufanyika kwa sasa.

Kuna watu wamekaa na kujiaminisha kuwa wakimleta NCHIMBI eti anaweza kubadili hisia na mawazo kuhusu CCM na kukamata hisia za wananchi ila kiukweli watu Wana Imani na Makonda au hata Polepole kuliko huyu balozi ambaye kila mtu anamjua vizuri tangu zamani kwaiyo kwa karata hii you are doomed to fail, fikirieni tena.

Kosa lingine ni kuwa CCM inaenda kurudisha wazee, waliokwisha kutumikia hizi nafasi na wengine walishindwa hata kuleta maendeleo kwenye majimbo yao ila bila aibu na kwakua CCM ni shamba la bibi hata wale nyani wa zamani wanataka kurudi tena kula mahindi kwakua wanajua bibi kazeeka zaidi hawezi hata kurusha jiwe. Hii ni dharau kwa chama na wajumbe mkiwarudisha hawa ng'ombe wazee wenye uchu na madaraka mtafeli vibaya.

CCM cha maana mtakachofanya ni kuhakikisha damu changa ndo inapitishwa at least watakuwa na ushawishi kwa Gen Z hata kama hawatapigiwa kura za ushindi na wananchi lakini mtakuwa mmetengeneza muonekano mpya wa chama kwa kupumzisha wazee na vijana kushika hatamu. Wazee mmetutoa mbali ila hapa tulipofika inatosha mkitaka kuendelea hiyo ni tamaa na mtaongeza mpasuko mkubwa ndani ya chama ukizingatia hata ndani ya CCM vijana ndo wengi zaidi na ndo walitaka kura zipigwe kumchagua mgombea urais baada ya Kikwete kumpitisha mama peke yake bila makubaliano na wanachama wote.

Mzee wetu Kikwete naye ni Mzee wa mjini tu, mpaka leo anapambaniaga maslahi binafsi tu. Wazee wenye hekima tunawaona wakisimamia ukweli ni Warioba na Mzee Butiku. Rais mstaafu Hana cha kupoteza hasa anapoamua kuliponya taifa kwa ushauri, na msaada pale unapohitajika ila kuwa chawa, kushindwa kusema ukweli, na kujikosha ni fedheha kwa nchi kwa familia na taifa kwa ujumla ukizingatia JK analipwa, mwanae analipwa na mke wake analipwa.

Ifike mahali wazee warudiwe na hekima zao watoe muongozo kwa vijana na vijana watumie nguvu zao kuliongoza taifa ila wazee waking'ang'ania madaraka basi vijana wapo huru kuwatoa kwa nguvu hata kuwapumzisha kabla ya wakati
We zombie huu uchafu wako mtumie mamako. Mbwa koko eti tumaini lililobaki, km umeishiwa matumaini ni wewe kajitundike bwege we.
 
Kama mfumo wa JPM ulikukataa ujue yafuatayo;

1. Huna utendaji kazi ila una usanii ndani yako

2. Sio mzalendo wa dhati, ni mzalendo machoni

3. Huwez chukua hatua hatarishi kuleta mabadiliko (risk taker)

4. Una ufisadi

5. Hujali wanyonge kwa dhati,
 
Mnajidanganya tu hakuna Chama Cha upinzani chenye uwezo wa kuiondoa CCM madarakani kwa Sasa ..

Ifike mahali mmkubali ukweli huo.
Migogoro ndani ya Chama ni kawaida na umalizika vizuri tu na wakati mwingine ni nyingi mnaota ndoto zenu mnakuja kuziandima hapa hakuna alietegemea nchimbi kuwa mgombea mwenza kinawauma Sana Tena Sana..

Ifike hatua mkubali tu imeshatokea ..
Kama unaamini hivyo fanyeni reforms halafu msitumie dola tuone hata kama saa 2:15 asubuhi mtafika yaani utashangaa uchaguzi unaisha mapema sanaaaa.
Fikisha ujumbe uko juu kwamba huku underground bila mitutu hamna chenu tena Wapinzani wa kweli mnao humo humo kijani ukichanganya na huu ufisadi na potea potea na kauli mfu za watawala Mzee amka tupa shuka kumeshakucha uchaguzi ukiwa huru hata hii Chaumma mliyoitengeneza inaweza kuwalaza na viatu.
 
Kwenye nchi ni lazima kuwe na watu ambao hata sisi tukipotoka wote bado wao watabaki kuwa tumaini letu kwa mawazo, ushauri, miongozo na kufanya maamuzi magumu kwa maslahi ya taifa. Maslahi ya taifa siku zote hushinda maslahi binafsi hivyo hivyo tunatambua kipi ni sahihi kwa kufanyika kwa sasa.

Kuna watu wamekaa na kujiaminisha kuwa wakimleta NCHIMBI eti anaweza kubadili hisia na mawazo kuhusu CCM na kukamata hisia za wananchi ila kiukweli watu Wana Imani na Makonda au hata Polepole kuliko huyu balozi ambaye kila mtu anamjua vizuri tangu zamani kwaiyo kwa karata hii you are doomed to fail, fikirieni tena.

Kosa lingine ni kuwa CCM inaenda kurudisha wazee, waliokwisha kutumikia hizi nafasi na wengine walishindwa hata kuleta maendeleo kwenye majimbo yao ila bila aibu na kwakua CCM ni shamba la bibi hata wale nyani wa zamani wanataka kurudi tena kula mahindi kwakua wanajua bibi kazeeka zaidi hawezi hata kurusha jiwe. Hii ni dharau kwa chama na wajumbe mkiwarudisha hawa ng'ombe wazee wenye uchu na madaraka mtafeli vibaya.

CCM cha maana mtakachofanya ni kuhakikisha damu changa ndo inapitishwa at least watakuwa na ushawishi kwa Gen Z hata kama hawatapigiwa kura za ushindi na wananchi lakini mtakuwa mmetengeneza muonekano mpya wa chama kwa kupumzisha wazee na vijana kushika hatamu. Wazee mmetutoa mbali ila hapa tulipofika inatosha mkitaka kuendelea hiyo ni tamaa na mtaongeza mpasuko mkubwa ndani ya chama ukizingatia hata ndani ya CCM vijana ndo wengi zaidi na ndo walitaka kura zipigwe kumchagua mgombea urais baada ya Kikwete kumpitisha mama peke yake bila makubaliano na wanachama wote.

Mzee wetu Kikwete naye ni Mzee wa mjini tu, mpaka leo anapambaniaga maslahi binafsi tu. Wazee wenye hekima tunawaona wakisimamia ukweli ni Warioba na Mzee Butiku. Rais mstaafu Hana cha kupoteza hasa anapoamua kuliponya taifa kwa ushauri, na msaada pale unapohitajika ila kuwa chawa, kushindwa kusema ukweli, na kujikosha ni fedheha kwa nchi kwa familia na taifa kwa ujumla ukizingatia JK analipwa, mwanae analipwa na mke wake analipwa.

Ifike mahali wazee warudiwe na hekima zao watoe muongozo kwa vijana na vijana watumie nguvu zao kuliongoza taifa ila wazee waking'ang'ania madaraka basi vijana wapo huru kuwatoa kwa nguvu hata kuwapumzisha kabla ya wakati
Hapa cha msingi reforms zifanyike , uwanja uwe sawa ccm mleteni yoyote ,na vyama vingine vilete wagombea wao wananchi waamue, nani anasema kwamba Rais wa nchi hii lazima kutoka ccm tu , kura za wananchi ndo zinatakiwa kuamua ,
 
Nchimbi naye ni tapeli tu nchi hii kwa Sasa inahitaji katiba na mifumo kabla ya uchaguzi wowote
 
Back
Top Bottom