GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,877
Jana wali mwingi sana ulimwagwa pale uwanjani ( katika pitch ) ya Uwanja wa Jamhuri Dodoma wakati wa Maonyesho ya wale Askari wa Magereza pamoja na ' Wafungwa ' Feki wao, Je ni akina nani wataenda ama kuula au kuuokota kwali ulimwagwa mwingi sana na unaweza ukawafaa wale wasiokula Wali / Ubwabwa siku nyingi.
Nawasilisha.
Nawasilisha.