Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Hapa JF na kwingineko kuna watu wanaamini kwamba JK nchi imemshinda. Tuambiane basi kama leo JK akiamua kubwaga manyanga tunataka nani achukue kijiti kutoka kwa JK. Na tunataka huyo mtu ashirikiane na kina nani kuendesha nchi? Kulaumu bila kutoa suluhisho ni UZANDIKI!!