GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Wakuu naomba kufahamishwa kuhusu hii kitu inaitwa kufungua jicho la tatu,
nimeshindwa kabisa kuielewa hivyo naomba kujua kutoka kwa wadau mliowahi
kufanya hicho kitu ilikuwaje? kuna tofauti gani baada ya kufungua na kabla ya
kufungua jicho hilo?
Kwako mshana jr na wataalamu wengine, Kuna mtu ananiambia Bangi inasaidia
kufungua jicho la tatu kwa haraka zaidi, Kuna ukweli gani, maana nami nataka kufanya.
nimeshindwa kabisa kuielewa hivyo naomba kujua kutoka kwa wadau mliowahi
kufanya hicho kitu ilikuwaje? kuna tofauti gani baada ya kufungua na kabla ya
kufungua jicho hilo?
Kwako mshana jr na wataalamu wengine, Kuna mtu ananiambia Bangi inasaidia
kufungua jicho la tatu kwa haraka zaidi, Kuna ukweli gani, maana nami nataka kufanya.