Nani amemroga Profesa Palamagamba Kabudi?


Kuna jamaa yangu mmoja anasema yeye hamuogopi Profesa wala Dr na ana degree moja..ukimuuliza kwanini anasema elimu sio title bali kusaidia kuleta positive change...haya ya akina Pala-MAGAMBA na akina BANA ni dalili tosha kuonyesha elimu sio title.........ni bora wamachinga waliopambana na polisi last week kuliko huyu Kabudi anayezuia mabadiliko kwa kuwanywesha watanzania sumu mbaya ya kukubaliana na CCM aka Pala-MAGAMBA.............
 
Reactions: Ame

Palamagamba alikuwa ananyesha? Hahahahaha! BAHASHA YA KAKI SI MCHEZO!
 
Taabu ya vijana wengi ni kutaka kila mtu kuwa na mtazamo na msimamo unaolandana na matakwa yao jambo ambalo halileti siha njema katika jamii inayotaka kuzingatia utawala wa sheria na kidemokrasia. Na ndio maana sikuona ajabu kuona wakati wa mjadala wa jukwaa la katiba mtu yeyote aliyekuwa anatoa mawazo kinzani na mtazamo wa kundi hilo alizomewa na kukatizwa asiendelee kutoa maoni yake...rejea Mzee Lifa Chipaka alivyonyimwa uhuru wa kutoa maoni. Wasichokifahamu vijana hao wenye hulka ni kuwa uhuru wao unaoishia ndipo unapoanza uhuru wa mtu mwingine. Talk, Talk and talk but also listen and respect other peoples opinions even if they might be contrally to your personal belief.
 

Kabudi hajarogwa,bali anaumwa ugonjwa tu wakawaida ujulikanao kama 'KUJIPENDEKEZA KWA WAKUBWA'
 

Umesema mwenyewe wewe ni kijana wa kichaga.sasa ulitegemea kijana wa kichaga(Kyadema) angefurahima ya maneno yenye hekima
 
Anatafuta fadhila ili ateuliwe kuwa mjumbe wa kamati ya kuchukua maoni ya kutunga katiba mpya. Mkae mkijua hana jipya huyujamaa, hovyo kweli
 

Na wengi wao wala hakuna wanachojua zaidi ya kufuata upepo!
 
Na wengi wao wala hakuna wanachojua zaidi ya kufuata upepo!

Bora niwe mfuata upepo kuliko kuwa na msimamo wa mshumaa ama sabuni? Kwanza nitachana vyeti vyangu vyote nilivyosomea hapo Tanzania nianze upya kusoma hizo ngazi za chini ili nisiwe hata na historia yakufundishwa na wenye mawazo mafupi kama huyo anayejiita prof ambaye hata mdomo wangu unapata kigugumizi kumwita hilo jina...
 
Mkuu, ni njaa ya kupata fadhila za wakuu ili naye apate kutoka. Ndivyo wa-Tz wasomi wengi walivyo.
 
 
Umesema mwenyewe wewe ni kijana wa kichaga.sasa ulitegemea kijana wa kichaga(Kyadema) angefurahima ya maneno yenye hekima
Uginingi mwingine,kwani CHADEMA hawapendi maneno ya hekima?na CHADEMA ni ya wchaga pekee?FIKIRA ZA MAGAMBA BWANA!
 
Jk kamwahidi ujumbe kwenye tume ya Jk ya kujiandikia katiba aitakayo jk mwenyewe/..................kwa hiyo anasubiri kukusanya maposho kibao............
 
Kuna mtu alisema huyu jamaa ni usalama wa taifa nadhani sasa imedhilika.
 
Mwanzo nilikua namkubali sana Prof Kabudi lakini tangu kwenye suala la mgombea binafsi sina hamu hata ya kumsikiliza tena huyu Prof !
 
Pala (magamba)+ccm-magamba=nadhan kuna uhusiano
 
Real hakuna kama Shivj....pala la magamba ni tatizo jingine
 

how could you respect opinions ambazo zinainfluence decision za kitaifa????? rejea issue ya kutotolewa kwa mikopo katika Law Skul of Tanzania........anayeivalia njuga ni nani mpka leo kama siyo Kabudi!!!!! how could we respect such kind of opinion.........he has authority as a faculty dean of UDSM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…