Ukitaka kuiponda Dini na uielewe... Mtume weTU mpendWA Muhammad..kuna kosa gani katika hiyo statement yangu?
Ukija na scholarly unbiased opinion about the quran, je sio kitabu? je allah na mitume sio wahusika kwenye hiko kitabu?
sasa undezi wangu upo wapi?
au mmeaminishwa matusi kwa kila asie upande wenu?
bonus question; Kwanini unakiamini hiko kitabu?
Kwa sababu kitabu..kimeshuswa Kuja kumuongoza mwanadamu namna ya kuishi haya maisha...Uisilamu Ni complete way of life... Hakuna section ya maisha haijagusa.kuna kosa gani katika hiyo statement yangu?
Ukija na scholarly unbiased opinion about the quran, je sio kitabu? je allah na mitume sio wahusika kwenye hiko kitabu?
sasa undezi wangu upo wapi?
au mmeaminishwa matusi kwa kila asie upande wenu?
bonus question; Kwanini unakiamini hiko kitabu?
Sheria ya base ten math inakubali au inakataa kwamba 1 + 1 = 1 ?Nimekujibu hivi: sheria ya base ten math inasemaje. Au hiyo base ten math haina sheria? Bado tu hujafahamu?
Nasisitiza, base ten math ina sheria inayoiongoza.
Hivyo tutaona hiyo sheria inasemaje na hiki unachosema na kufundisha: 1+1= 1 kikoje. Ikikubalika na sheria ya base ten math tutakubali kuna mantiki na ikikataa hakuna mantiki.
Sasa hadi hapo hujajua tu? Au unataka ufundishwe kama mtoto mdogo?
Niseme, nimeona haya kwako: uwezo wako wa ufahamu ni mdogo sana hivyo umepotoka. Huwezi kufafanua mambo.
jiue utamwona!!The question: "If God is the creator, then who created the creator?" is illegitimate because by definition, the Creator is uncreated. He is eternal, without beginning, without end and all affairs return back to Him: (وَأَنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ ٱلْمُنتَهَىٰ) "And that to your Lord is the return (of all beings and affairs) (and of all perfections in attributes)." (53:42).
Thus to ask who or what created something that is uncreated is the way of:
a) an ignorant person devoid of intellect,
b) a lying deceiver, a sophist.
Note : Maelezo haya mafupi nime "copy" na ku "paste" toka kwenye tovuti iitwayo "www.aboutatheism.net", mnaweza tembelea huko mpate faida.
Tujadili hili, kwa wale wote ambao huuliza swali hilo, waje watuambie kwanini wanauliza swali hilo.
Ahsante.
Jurjani (Zurri)
MUNGU tumwache aendelee kuwa MUNGU, haya maswali mengine unaweza kuta unatenda dhambi bure.... Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika. Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.The question: "If God is the creator, then who created the creator?" is illegitimate because by definition, the Creator is uncreated. He is eternal, without beginning, without end and all affairs return back to Him: (وَأَنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ ٱلْمُنتَهَىٰ) "And that to your Lord is the return (of all beings and affairs) (and of all perfections in attributes)." (53:42).
Thus to ask who or what created something that is uncreated is the way of:
a) an ignorant person devoid of intellect,
b) a lying deceiver, a sophist.
Note : Maelezo haya mafupi nime "copy" na ku "paste" toka kwenye tovuti iitwayo "www.aboutatheism.net", mnaweza tembelea huko mpate faida.
Tujadili hili, kwa wale wote ambao huuliza swali hilo, waje watuambie kwanini wanauliza swali hilo.
Ahsante.
Jurjani (Zurri)
Unajinasibu kama unaelewa. Ndivyo unavyojibainisha kwa wafuasi wako humu!
Kwa mtu anayejibainisha hivi anashindwaje kujua intellectual knowledge ni nini na sense knowledge ni nini. Inasikitisha!
Niseme kidogo kuhusu sense knowledge.
Nafahamu unafahamu mfumo wa fahamu wa mtu.
Hapa nazungumzia milango mitano ya fahamu yaani macho, masikio, ulimi, ngozi na pua, na mlango wa kati wa fahamu yaani ugwemgongo, uti wa mgongo na ubongo.
Hii milango miwili ndiyo inayohusika na kupokea, kuchakata, kupeleka na kutafsiri jambo au taarifa zinazoendelea nje na ndani ya mwili. Hii ni kadiri ya baiolojia
Hivyo, hii milango miwili yaani milango mitano ya fahamu (sense organs) na mlango wa kati wa fahamu wa mtu (human central nervous system) ndiyo inahusika na ufahamu.
Nitaeleza kuhusu ufahamu, ikibidi.
Kwa mfano, mlango wa fahamu wa sikio ni kiungo (organ) inayopokea, chakata na kupeleka taarifa au jambo. Vivyo hivyo kwa milango yote ni viuongo kamilifu kadiri ya kazi yake.
Ndiyo katika utaratibu huu (picha ndogo tu ambayo nimeieleza) wa milango ya fahamu yaani milango mitano ya fahamu na mlango wa kati wa fahamu wa mtu hufafanuliwa kama sense knowledge.
mbona hujibu chochote?Ukitaka kuiponda Dini na uielewe... Mtume weTU mpendWA Muhammad..
Rehma na Amani I we
e juu yake. .hakukitunga hichi kitabu Cha Quran... Bali Ni kitabu kimeshushwa KUTOKA kwa Mungu mwenyezi...
Sasa Wewe unadhani kwa Akili yako uliopewa unaweza elewa KILA kitu...Na kuchambua KILA kitu..
.Kuna Mambo wana sayansi wenyewe hawajaweza kuyapatia ufumbuzi....
Kwahiyo.tumejuja duniani.kuzaliana na kufa...Hilo ndo.lengo la kuumbwa kwako.
kilishushwaje,kama radi?Kwa sababu kitabu..kimeshuswa Kuja kumuongoza mwanadamu namna ya kuishi haya maisha...Uisilamu Ni complete way of life... Hakuna section ya maisha haijagusa.
Reasoning siyo swala jepesi jepesi mkuu...!Reasoning=0
unachofanya sio kunipa sababu ya kwanini unaamini unachoamini ila unanipa maneno mnayomezeshwa huko ili msitoke
(NB:sijasema siamini katka mungu ishu ni mungu yupi)
Kama umeweza kufahamu base ten mathematics unashindwaje kufahamu sheria inayoiongoza?Sheria ya base ten math inakubali au inakataa kwamba 1 + 1 = 1 ?
Mbona bado unakwepa swali kwa mgongo wa "sheria ya base ten math" ?
Kwani nikikuuliza swali maana yake sijui jibu la swali?Kama umeweza kufahamu base ten mathematics unashindwaje kufahamu sheria inayoiongoza?
Kama unajua base ten mathematics unapaswa pia kujua sheria inayoongoza.
Kwanini? Kwa sababu kama nikikujibu ndiyo au hapana, utaniuliza: hiyo ndiyo au hapana umeipataje?
Sasa, unaweza kuelewa msingi wa hoja yangu.
Wapi nimeonyesha nimeshindwa kujibu kuwa katika base ten math 1+1=1 ni sawa au sio sawa?Kwani nikikuuliza swali maana yake sijui jibu la swali?
Unaelewa Socratic question ni nini?
Umeshindwa kujibu kuwa katika base ten math 1 + 1 = 1 ni sawa au si sawa, huwezi kujadiliana nami.
Onesha ulipojibu kwamba 1 + 1 = 1 katika base tem math ni sawa au si sawa.Wapi nimeonyesha nimeshindwa kujibu kuwa katika base ten math 1+1=1 ni sawa au sio sawa?
Onyesha.
Mzee una hangaika penye hakuna kitu.Onesha ulipojibu kwamba 1 + 1 = 1 katika base tem math ni sawa au si sawa.
Na usiniambie habari ya "sheria za base ten math...".
Jibu ni sawa au si sawa.
Onesha ulipojibu kwamba ni sawa au si sawa.Ni sahihi au si sahihi.
Hili swali nilishalijibu tayari.Onesha ulipojibu kwamba 1 + 1 = 1 katika base tem math ni sawa au si sawa.
Na usiniambie habari ya "sheria za base ten math...".
Jibu ni sawa au si sawa.
Onesha ulipojibu kwamba ni sawa au si sawa.Ni sahihi au si sahihi.
Hili swali nilishalijibu tayari.
Ningekuwa najadiliana na mtoto mdogo ningemjibu si sawa kwa sababu ya uwezo wake wa akili.
Je, wewe ni mtoto mdogo?
Mimi natambua mtu alivyoumbwa. Hivyo siyo mtu ninayepinga au ogopa kukosolewa.Umejibu wapi?
Nimekuuliza unajua Socratic question ni nini. Mbona hujajibu?
Umeshindwa kujibu 1 + 1 = 1 ? in base ten math .
Kabla ya kujibu hili, huna lingine unaloweza kujadiliana nami.
You are a fraud. Unajua ukijibu swali hili litakuvua nguo na kuonesha utupu wa hoja zako.
Italeta longolongo kwenye maneno.
Hesabu zimekata longolongo zako.