Nani aliyemuumba Mungu?

Ukitaka kuiponda Dini na uielewe... Mtume weTU mpendWA Muhammad..
Rehma na Amani I we
e juu yake. .hakukitunga hichi kitabu Cha Quran... Bali Ni kitabu kimeshushwa KUTOKA kwa Mungu mwenyezi...

Sasa Wewe unadhani kwa Akili yako uliopewa unaweza elewa KILA kitu...Na kuchambua KILA kitu..
.Kuna Mambo wana sayansi wenyewe hawajaweza kuyapatia ufumbuzi....

Kwahiyo.tumejuja duniani.kuzaliana na kufa...Hilo ndo.lengo la kuumbwa kwako.
 
Kwa sababu kitabu..kimeshuswa Kuja kumuongoza mwanadamu namna ya kuishi haya maisha...Uisilamu Ni complete way of life... Hakuna section ya maisha haijagusa.
 
Sheria ya base ten math inakubali au inakataa kwamba 1 + 1 = 1 ?

Mbona bado unakwepa swali kwa mgongo wa "sheria ya base ten math" ?
 
jiue utamwona!!
 
MUNGU tumwache aendelee kuwa MUNGU, haya maswali mengine unaweza kuta unatenda dhambi bure.... Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika. Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.
 

Kujinasibu kama muelewa ni nini na wapi nimejinasibu kama muelewa?

Ningekuwa najinasibu kama muelewa ningekuulizaje maswali yote haya kama mtu asiyeelewa?

Sasa mbona umeeeleza kuhusu sense knowledde na hujaeleza kuhusu intellectual knowledge?

Wewe hata swali langu umelielewa?
 
mbona hujibu chochote?
1.Je kwenye kitabu cha quran muhamad,watume, allah sio wahusika??(ndiyo/hapana)
2.kwanini unakiamini hicho kitabu?
3.kwanini tufanye hivyo vitu yani ibada,makatazo nk.?
 
Reasoning=0
unachofanya sio kunipa sababu ya kwanini unaamini unachoamini ila unanipa maneno mnayomezeshwa huko ili msitoke

(NB:sijasema siamini katka mungu ishu ni mungu yupi)
Reasoning siyo swala jepesi jepesi mkuu...!
Mtu anaweza kukwambia Quran ni kitabu cha Mungu sababu Quran inasema hivyo...na ukamwelewesha asielewe kamwe.
 
Sheria ya base ten math inakubali au inakataa kwamba 1 + 1 = 1 ?

Mbona bado unakwepa swali kwa mgongo wa "sheria ya base ten math" ?
Kama umeweza kufahamu base ten mathematics unashindwaje kufahamu sheria inayoiongoza?

Kama unajua base ten mathematics unapaswa pia kujua sheria inayoongoza.

Kwanini? Kwa sababu kama nikikujibu ndiyo au hapana, utaniuliza: hiyo ndiyo au hapana umeipataje?

Sasa, unaweza kuelewa msingi wa hoja yangu.
 
Jurjani. Huu mjadala unaelekea kwenye jibu la swali lao, au umeachwa kwenye mataa?🙂
 
Kwani nikikuuliza swali maana yake sijui jibu la swali?

Unaelewa Socratic question ni nini?

Umeshindwa kujibu kuwa katika base ten math 1 + 1 = 1 ni sawa au si sawa, huwezi kujadiliana nami.
 
Kwani nikikuuliza swali maana yake sijui jibu la swali?

Unaelewa Socratic question ni nini?

Umeshindwa kujibu kuwa katika base ten math 1 + 1 = 1 ni sawa au si sawa, huwezi kujadiliana nami.
Wapi nimeonyesha nimeshindwa kujibu kuwa katika base ten math 1+1=1 ni sawa au sio sawa?

Onyesha.
 
Ni nani aliye muumba Mungu?
Muulize Mungu mwenyewe atakujibu, kwa kuwa tayari swali lako linaonyesha kuwa unatambua kuwa kuna Mungu lasivyo usingeuliza.
 
Wapi nimeonyesha nimeshindwa kujibu kuwa katika base ten math 1+1=1 ni sawa au sio sawa?

Onyesha.
Onesha ulipojibu kwamba 1 + 1 = 1 katika base tem math ni sawa au si sawa.

Na usiniambie habari ya "sheria za base ten math...".

Jibu ni sawa au si sawa.

Onesha ulipojibu kwamba ni sawa au si sawa.Ni sahihi au si sahihi.
 
Onesha ulipojibu kwamba 1 + 1 = 1 katika base tem math ni sawa au si sawa.

Na usiniambie habari ya "sheria za base ten math...".

Jibu ni sawa au si sawa.

Onesha ulipojibu kwamba ni sawa au si sawa.Ni sahihi au si sahihi.
Mzee una hangaika penye hakuna kitu.
 
Onesha ulipojibu kwamba 1 + 1 = 1 katika base tem math ni sawa au si sawa.

Na usiniambie habari ya "sheria za base ten math...".

Jibu ni sawa au si sawa.

Onesha ulipojibu kwamba ni sawa au si sawa.Ni sahihi au si sahihi.
Hili swali nilishalijibu tayari.

Ningekuwa najadiliana na mtoto mdogo ningemjibu si sawa kwa sababu ya uwezo wake wa akili.

Je, wewe ni mtoto mdogo?
 
Hili swali nilishalijibu tayari.

Ningekuwa najadiliana na mtoto mdogo ningemjibu si sawa kwa sababu ya uwezo wake wa akili.

Je, wewe ni mtoto mdogo?

Umejibu wapi?

Nimekuuliza unajua Socratic question ni nini. Mbona hujajibu?

Umeshindwa kujibu 1 + 1 = 1 ? in base ten math .

Kabla ya kujibu hili, huna lingine unaloweza kujadiliana nami.

You are a fraud. Unajua ukijibu swali hili litakuvua nguo na kuonesha utupu wa hoja zako.

Italeta longolongo kwenye maneno.

Hesabu zimekata longolongo zako.
 
Mimi natambua mtu alivyoumbwa. Hivyo siyo mtu ninayepinga au ogopa kukosolewa.

Mimi siandiki kuvutia au kufurahisha, lakini kile kinachokubalika na akili; sheria.

Naelewa njia au mbinu ambazo mtu anaweza kuzitumia ku-justify udhaifu, opotofu au makosa yake kwa audience ione yeye ndiyo yuko sahihi.

Swali lako la 1+1=1 in base ten math. Jibu lake ni hili: halina mantiki.

Nasubiri hizo longolongo na kuvuliwa nguo ulikokusema hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…