Nani aliye waloga!?

mdachi

New Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1
Reaction score
0
Macho mnayo ila hamuoni.
Masikio manayo ila hamsikii.
Midomo mnayo ila :tape:.

Laiti mngalijua nguvu ya Kura mnayoichezea, msinge wasikiliza waliobadili maudhui ya chama tunacho kifahamu sote leo yanasiomeka hivi:

- Rushwa si adui wa haki, nitapokea na kutoa rushwa kwa manufaa yangu na familia yangu.
- Binadamu wote si sawa, mwenye nazo ataongezewa asiye nazo hahaha...
- Kiongozi wa chama lazima awe mtu safi kwa kuwa fisadi.
- Maadui wakubwa wa Tz siyo umasikini, ujinga na Maradhi, bali ni wafichua siri za ulaji.
- Chama si cha Wakulima na Wafanyakazi, ila mabepari, mafisadi na ndugu zao.
- Mali zote za Tz sio za Umma, ila wajanja wachache.
- Kiongozi kamwe hakosei, hata ni msafi kama fisadi anafaa kuwa wakilisha wananchi.
- Elimu bora, huduma za afya na lishe bora haiwezekani........
- Tz haitajengwa na wenye moyo, bali kila mtu kivyake vyake.
- Tz itatawaliwa na Kim il Sung, Kim jong il, na Kim jong un na ............

Tumia Nguvu ya Kura Yako.

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…