Majita
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 609
- 190
Ni kama utani fulani hivi ninapoandika habari hii.Lakini baada ya fujo na vurugu za jana kwenye uchaguzi wa UVCCMAGAMBA nimefualitia kwa karibu sababu ya kuanza kwa makonde ya vijana hao.Wachangiaji wengi wanaonyesha "ulalafu" wa hawa wajita katika mkoa wao.Wachangiaji Wako sawasawa kabisa.Mie najiuliza swali nani kawaloga wajita au who bewitched the "yegos".