BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,496
- 5,693
Salaam,
Nauliza tu kama kichwa cha habari kinavyoeleza.
Wengi tunaamini hivyo, hata mahakamani wanaamini hivyo, sasa humu jukwaani hebu tupeane elimu kidogo kuhusu suala hili, nisije nikamuonesha mtu bure akaniona nimemtukana.
Karibuni kwa mchango wa mawazo.
Nauliza tu kama kichwa cha habari kinavyoeleza.
Wengi tunaamini hivyo, hata mahakamani wanaamini hivyo, sasa humu jukwaani hebu tupeane elimu kidogo kuhusu suala hili, nisije nikamuonesha mtu bure akaniona nimemtukana.
Karibuni kwa mchango wa mawazo.