screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Wahenga wenzangu,
Nipo nasikiliza hizi ngoma mbili 'Kama Unataka Dem' ya JayMo na 'Mabinti' ya Mwanafalsafa. Hizi ngoma kwa pamoja zilisumbua sana miaka ya 2001/2002 kwenye charts mbalimbali za redio, cha ajabu idea ya hizi nyimbo zinaendana sana.
Mimi naamini ufanano wa idea zao haikuwa coincidence, ni lazima kuna mmoja alidukua idea kutoka kwa mwingine na ukizingatia before hizi ngoma kutoka waliwahi kufanya kazi pamoja kwenye wimbo uliomtoa MwanaFA (Ingekuwa vipi). Je, ni nani alikopi idea mwenzake? Na ngoma ipi ilikuwa kali zaidi?
KAMA UNATAKA DEM - Jay Mo ft SoloThang n' QChief - Produced by PFunky Majani
MABINTI DAM DAM - MwanaFA ft Mariam SK - Produced by Bon Luv ( I'm not sure)
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo nasikiliza hizi ngoma mbili 'Kama Unataka Dem' ya JayMo na 'Mabinti' ya Mwanafalsafa. Hizi ngoma kwa pamoja zilisumbua sana miaka ya 2001/2002 kwenye charts mbalimbali za redio, cha ajabu idea ya hizi nyimbo zinaendana sana.
Mimi naamini ufanano wa idea zao haikuwa coincidence, ni lazima kuna mmoja alidukua idea kutoka kwa mwingine na ukizingatia before hizi ngoma kutoka waliwahi kufanya kazi pamoja kwenye wimbo uliomtoa MwanaFA (Ingekuwa vipi). Je, ni nani alikopi idea mwenzake? Na ngoma ipi ilikuwa kali zaidi?
KAMA UNATAKA DEM - Jay Mo ft SoloThang n' QChief - Produced by PFunky Majani
MABINTI DAM DAM - MwanaFA ft Mariam SK - Produced by Bon Luv ( I'm not sure)
Sent using Jamii Forums mobile app